Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Potter anapendaga lawama zisizo za msingi, analazimishaga Rotation za ovyo ovyo.

Pulisic ni mtumishi hewa anampanga wa nini.

Weka wakina Mudryk, Madueke waendelee kuingia kwenye mfumo na kuzoea ligi.
NDIO karudia ujinga wake , first team huwa haibadilishwi kindezi hivyo , timu ilishaanza kuclick pole pole ye anaingiza galasa Pullisic
 
Halafu hii mechi sio ya kudraw au kuloose , hizi mechi ni za kushinda , huwezi kuwa unazembea kwenye mechi kama hizi halafu unataka upate points za kujiimarisha kwenye msimamo wa ligi mwisho wa msimu ,atleast kupata chance ya Europa
 
Anyway nimependa coordination ya Koulibaly ,Fofana na badiashile kwenye defence , naona wameimarika sana kwa sasa , Koulibaly kaanza kuzoea ligi maana hata mistakes zake alizokuwa anafanya zamani zimepungua sana
 
Au kama vipi ,kuu la majambazi Ng'olo Kante aingie pale kati ili enzo aingie deep kupandisha mipasi yake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom