Kuna post jana niliongea hicho kitu, Kocha hana falsafa ya uchezaji tena wenye kuwademand wachezaji washinde mechi. tunacheza show game tu. Umeongea point kubwa ndg. Japo kwenye upande wa pili hata kama hiyo pattern hakuna bado hao wachezaji hawajitumi. Mabeki wetu jana walicheza vizuri isipokuwa Cucurela inaonekana uwezo wake ndio umeishia hapo
Galagher bado sana, jana kwanza alikuwa anacheza out of position, pili hajijui alikuwaanafanya nini, kaba yake, press yake haina akili kabisa nk
Mount ukiondoa ile pasi aliyokosa Havertz sikuona faida yake zaidi
Mimi nisingependa tena ZIyech, Mount, Havertz, Cucu, na Galagher waanze. Nafasi zao zichukuliwe na Madueke for Ziyech, Felix for Mount, Fofana fo Havertz, Chillwell au Hall for Cucurella, Kova au Denis for Galagher. Tumemaliza
Tatizo litakalobakia sasa ni hilo la identity
Fulama jana utawaona tu japo hawakukaa na mpira sana lakini walipress kuhakikisha Chelsea hawachezi game lao na kuwalazimisha kufanya makosa, gholini waliweka ukuta wa Berlin