JORGINHO ni kipande muhimu kilichobakia (Missing piece of a puzzle) kwa Arteta
Siwezi kumfananisha kama Caicedo kwa sababu Caicedo ni powerful box-to-box midfield kwa Brighton. Lakini kwa Jorginho ni Press resistance na Tempo-setter ndani ya timu. Ni aina y wachezaji Arteta alikua anawahitaji Sio tu kuongeza nguvu kikosini bali pia Winning mentality na experience kwenye kikosi. Ukitaja jina la Jorginho msiishie kuishia jina Frelo bali ongezeni UEFA Champions League winner (2021), UEFA League of Nations winner (2019) na Ballon’Dr nominee mwaka 2019.
Jorginho Frelo ni kweli umpa eneo kubwa ku-defend atakufedhehesha (Large area to defend) lakini mazingira ya Arsenal kuzuia kama Unit ukizingatia uingiaji ndani wa Fullbacks kwenye midfield (Inverted full back) kama afanyavyo Zinchenko, Tierney na White means hatakua isolated kwenye #6.
Arsenal na Arteta hawahitaji mpiga Penalty tu, bali mchezaji ambae ni Ball Passer na mzuiaji mzuri timu inaposhambuliwa ukizingatia pass rate ya 87% kwa misimu minne yote akiwepo Chelsea. Tunamhitaji Jorginho wa Napoli zaidi kuliko huyu wa Chelsea na Arsenal ina mazingira hayo ya kumrudisha kwenye ubora.
Jorginho msimu huu ana tackles, interceptions na ball recoveries nyingi kuliko Partey na ukizingatia Chelsea hawako compact sana kama Arsenal. Arsenal ni tofauti kidogo. Muda mwingi wapo na umiliki wa mpira, imagine juu ya hapo imeongeza Build Up play monster. Ni hatari sana.