lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,694
- 25,910
Kuna taarifa za interested tu, hajaondoka, labda last minutes, ila mimi ningependa wakati hatuna striker wa uhakika apate nafasi ya kujionyesha kuwa anawezaHiv Datro fofana hajatolewa kwa mkopo?
Kuna taarifa za interested tu, hajaondoka, labda last minutes, ila mimi ningependa wakati hatuna striker wa uhakika apate nafasi ya kujionyesha kuwa anawezaHiv Datro fofana hajatolewa kwa mkopo?
Loophole imeshatumiwa vizuri hata wakija kubana sisi tumeshapita hukoIla Chelsea wawe makini tu maana hii mikataba ya 8 years ni kukwepa sheria za UEFA Financial Fair Play ambazo ni lazima timu isitumie zaidi ya mapato. Sasa Chelsea wanagawa pesa za usajili kwa miaka 8 ili wakwepe kufungiwa lakini project hii kama ikibuma watapata wakati mgumu sana.
8yrs?Re.Enzo
Atasain mkataba mpaka june 2031[emoji16][emoji16][emoji16]
Hata mimi binafsi naona kama kocha atamuamini atatusaidia Sana kuliko kai havertKuna taarifa za interested tu, hajaondoka, labda last minutes, ila mimi ningependa wakati hatuna striker wa uhakika apate nafasi ya kujionyesha kuwa anaweza
Ni miaka 8.58yrs?
duhNi miaka 8.5
Mmeitumia vizuri nafasi ila ni lazima hawa wachezaji wafanye vizuri la sivyo huko mbeleni mnaweza kuwa na kikosi kikubwa cha wachezaji ambao hawauziki na wanapokea mishahara mikubwa. Hawa wachezaji wanaweza wakafanya vizuri hata 4 years consecutive ila viwango vikishuka bado wengi watakuwa na miaka ya kutosha.Loophole imeshatumiwa vizuri hata wakija kubana sisi tumeshapita huko
Ziyech ni mzuri usimuunderrate, Chelsea tu hakuwa na amani, labda kwa sababu ya kutopewa muda wa kutosha, hasa alimkasirikai sana TTIvi jamani ziyech pale psg anaenda kuchukua nafasi ya nani kwanza nicheke
wait and see, tusiandikie mate, kila kitu well planned.Mmeitumia vizuri nafasi ila ni lazima hawa wachezaji wafanye vizuri la sivyo huko mbeleni mnaweza kuwa na kikosi kikubwa cha wachezaji ambao hawauziki na wanapokea mishahara mikubwa. Hawa wachezaji wanaweza wakafanya vizuri hata 4 years consecutive ila viwango vikishuka bado wengi watakuwa na miaka ya kutosha.
Baba apa kinachofata ni fagio tuMmeitumia vizuri nafasi ila ni lazima hawa wachezaji wafanye vizuri la sivyo huko mbeleni mnaweza kuwa na kikosi kikubwa cha wachezaji ambao hawauziki na wanapokea mishahara mikubwa. Hawa wachezaji wanaweza wakafanya vizuri hata 4 years consecutive ila viwango vikishuka bado wengi watakuwa na miaka ya kutosha.
Ngoja tuone ila 8+ years siyo wazo zuri kabisa, ila kwasababu mnafanya rebuild hamna namna.wait and see, tusiandikie mate, kila kitu well planned.
ngoj tuoneNgoja tuone ila 8+ years siyo wazo zuri kabisa, ila kwasababu mnafanya rebuild hamna namna.
Mfano mzuri ni United, kuna wachezaji mikataba yao inatusumbua mpaka leo.
Sio hawa wapya wale wa zaman ndo fagio litawahusu ila hawa wengine tutajua uko mbelenUtapigaje fagio kirahisi wakati mchezaji atakuwa bado ana mkataba wa miaka 4 na mshahara mkubwa aliosaini miaka 4 iliyopita.
Hii project yenu inatakiwa ifanye vizuri tu.
Ila Man Utd tumepigwa pesa sana. 😂Ukibuma huu usajili tutacheka sanaView attachment 2502013
Ila Man Utd tumepigwa pesa sana. 😂
Hiyo list ni Van Dijk tu ndiyo alifanya kazi inayoendana na thamani yake.
Sijajua huwa mnatumia vigezo gani kumu underrate Havertz. Ila dogo yuko vizuri ni upepo tu unapitaHata mimi binafsi naona kama kocha atamuamini atatusaidia Sana kuliko kai havert
Timu ya Nice ilikua inamtaka sijajua sijui wamefikia wapiHiv Datro fofana hajatolewa kwa mkopo?
Na wote walifanya vizuriEnzo anakuwa mchezaj wetu wa 4 kumsajili akitokea BenficaView attachment 2502012