lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,704
- 25,939
Tunazungumzia msimu huu kuwa ninyi ni underdogs, ambayo msimu ya nyuma ndio ina depict hiyo underdog. Chelsea ikiperform vibaya for more than 3 years consecutively ndi ina make sense kuwaita underdog kwenye mwaka ambayo watafanya vizuri. You are not underdog if your not performing well after series of bad performances in the league. Likewise you are not underdog if you have been doing well in the league for a series of seasons consecutively. Saa nyingi una urge things as a child. Arsenal miaka zaidi ya 6 doing bad na mwaka huu mkaibuka underdog kwa sababu mnafanya vizuri, That is underdog definition derived.Kwahiyo umegoma kuweka msimamo? Kwani ni siri?