Huoni kama chuki itazidi kuwa kubwa dhidi yaoKwa nini Chelsea wasi hijack hili dili la Pedro Porro?
Weka msimamo hapa tuone kama chelsea sio ANDADOGI[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]OK
Tuanze na maana ya Underdog.
Underdog = Asiyedhaniwa kushinda
Meaning: a team predicted to have little chance of winning the title.
Kiswahili: Timu shindani inayobashiriwa kuwa na nafasi ndogo ya kushinda kombe
Katika miaka 6 iliyopita Arsenal ilikuwa ikimaliza nje ya top 4 na miaka mingine hata ilishindwa kushiriki kwenye mashindano ya Ulaya, yaani UEFA, EUROPA na Conference League.
Sasa kwa kawaida timu ikishakuwa kwenye hiyo trend au mlolongo wa kushindwa kwa namana hiyo kwa zaidi ya miaka mitatu siku ikija kuibuka kufanya vizuri ndipo tunatumia neno Underdog
Arsenal hakuna aliyetabiri kwamba hadi sasa ingekuwa juu hapo kwenye uongozi wa ligi. Kwa sababu hiyo sasa ndipo neno Underdog inachukua nafasi yake. Mkichukua kombe, na miaka inayofuata mkaendelea kuwa contenders wazuri hilo neno linafutika lenyewe. It is natrural and automatic
Mfano hadi sasa, Man city pamoja na kufanya vizuri kwenye ligi, ikienda mashindano ya UEFA wanaitwa underdog, kwa sababu wana historia ya kufanya vibaya kwenye hayo mashindano.
Understood
Na muache inferiority complex, itawaua au kuwapanua miyoyo
View attachment 2493842
Msimamo wa misimu sita nimeweka unataka nini tenaWeka msimamo hapa tuone kama chelsea sio ANDADOGI[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wamchukue tuHuyu Gordon tulimtaka kiangazi tukawekewa hadi paundi mil 60 tena kwa maringo sasa New castle wanaweza kumbeba kwa mil 30
Weka msimamo acha mbambamba,unaleta zilipendwa...weka msimamo wa sasa hivi ili tumjue underdog nani!!!!!Msimamo wa misimu sita nimeweka unataka nini tena
Wee huelewi kitu, nikuache tuWeka msimamo acha mbambamba,unaleta zilipendwa...weka msimamo wa sasa hivi ili tumjue underdog nani!!!!!
Onana bid imekataliwa tiari ervaton wamesema hawamuuziAdvantage kubwa aliyonayo Amadou Onana ni urefu wake wa 1.92M
Zaidi ya hiyo sioni creativity wala decsent defending
![]()
Onana hamna mchezaj apa ni mid sana hana standard za kuw chelseaAdvantage kubwa aliyonayo Amadou Onana ni urefu wake wa 1.92M
Zaidi ya hiyo sioni creativity wala decsent defending
![]()
Ni mzur tatizo chelsea tunaangalia majina makubwa wakati wachezaji wazuri wapo wengi tena ni cheaper ata huyu Santos anafaa kuanza kuwepa nafasi ya kucheza anakiwasha sana timu ya taifa adi saiv ana goal 3 sijui uongoz haumuoni au ?Na huyo mturuki unamsemaje
Kwahiyo umegoma kuweka msimamo? Kwani ni siri?Wee huelewi kitu, nikuache tu