Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Sasa nimeamini Chelsea tuna average player wengi sana.. top quality player ni wachache sana.

Na hii ndo inafanya wachezaji walosajiliwa January waonekane wazuri sana (badiashille, mudryk, J.Felix), hao class yao ndo imeonyesha tuna watu wa aina gani kwenye kikosi chetu cha sasa..

Ni kweli inabidi dirisha kubwa waondoke wengi sana..
Huwa nasema tuna quantity kuliko quality.
Wachezaj wachache sana ndio wanaquality na ndio wanaoperform game nyingi ni game chache sana ndio unakuta hawajacheza vizuri.

Ukiangalia felix alivyocheza dhid ya fulham,Badiashile hizi game mbili alizocheza(palace&liverpool), mudryk dakika alizocheza leo unaona kabisa quality waliyonayo na ambayo tumekuwa tukiikosa.

Rebuilding ilikuwa inahitajika,

Hizi game mbili zilizopita atleast improvement inaonekana sasa
 
[emoji1787]
Screenshot_20230121-193114_Chrome.jpg
 
Huwa nasema tuna quantity kuliko quality.
Wachezaj wachache sana ndio wanaquality na ndio wanaoperform game nyingi ni game chache sana ndio unakuta hawajacheza vizuri.

Ukiangalia felix alivyocheza dhid ya fulham,Badiashile hizi game mbili alizocheza(palace&liverpool), mudryk dakika alizocheza leo unaona kabisa qualitu waliyonayo na ambayo tumekuwa tukiikosa.

Rebuilding ilikuwa inahitajika,

Hizi game mbili zilizopita atleast improvement inaonekana sasa
Yaani weka hawa

  1. Silva
  2. Kante
  3. James
Sioni wachezaji wenye quality zaidi yya hao watatu kwa wale wa zamani

Na kipimo ni ujio wa Badiashile na Mudryk

Waliosajiliwa kiangazi
  1. Sterling - Avarage- kashachuja
  2. Cucurella - hatumii akili
  3. Koulibally - mfumo umemkataa
  4. Wesley Fofana - Hajapata muda wa kucheza
  5. Chunkwuemeka - mzito wa kuamua
  6. Aubameyang - yuko yuko tu
  7. G Slonina - Hajapewa nafasi
  8. Denis Zakaria - Just Avarage - japo anaonyesha akizoea ana composure nzuri na mpira kuliko viungo tulio nao
January signings
  1. Mudryk - very supperb - pace 100%, akili 100%, speed 100%, ball controll 100%, passing 100%
  2. Badiashile - Supperb
  3. Datro Fofana - bado hajapata muda wa kutosha kuonyesha uwezo wake
  4. Madueke - Bado hajacheza
  5. Santos - Bado
  6. Joao Felix - Supperb
So to say, line up yetu ya first 11 ni

---------------- Striker bado--------------------------

Mudryk ----------------- Felix------------------- Bado

------------- Bado --------------- Kante ------------

Bado ----------- Badiashile -------- Silva --------- James

---------------- Kipa bado--------------------------

Hii line up inaonyesha jinsi gape la usajili lilivyo kubwa

Winger wa kulia Madueke anaweza kupunguza uhitaji

LB sikumuweka Chilwell kwa sababu anajivuta sana kurudi kwenye form akitoka majeruhi tofauti na James Jembe

So wacheza class tuitawahitaji

Kipa yule wa Brentford ni mzuri sana, kwenye saves tu msimu huu ndie anaongoza
Labd akwenye LB Hall akilifanyia kazi eneo la maamuzi ya haraka sehemu zilziobaki ana composure nzuri
Kwenye Striker labda Fofana anaweza kutupunguzia mzigo wa kwenda sokoni hapo
 
Yaani weka hawa

  1. Silva
  2. Kante
  3. James
Sioni wachezaji wenye quality zaidi yya hao watatu kwa wale wa zamani

Na kipimo ni ujio wa Badiashile na Mudryk

Waliosajiliwa kiangazi
  1. Sterling - Avarage- kashachuja
  2. Cucurella - hatumii akili
  3. Koulibally - mfumo umemkataa
  4. Wesley Fofana - Hajapata muda wa kucheza
  5. Chunkwuemeka - mzito wa kuamua
  6. Aubameyang - yuko yuko tu
  7. G Slonina - Hajapewa nafasi
  8. Denis Zakaria - Just Avarage - japo anaonyesha akizoea ana composure nzuri na mpira kuliko viungo tulio nao
January signings
  1. Mudryk - very supperb - pace 100%, akili 100%, speed 100%, ball controll 100%, passing 100%
  2. Badiashile - Supperb
  3. Datro Fofana - bado hajapata muda wa kutosha kuonyesha uwezo wake
  4. Madueke - Bado hajacheza
  5. Santos - Bado
  6. Joao Felix - Supperb
So to say, line up yetu ya first 11 ni

---------------- Striker bado--------------------------

Mudryk ----------------- Felix------------------- Bado

------------- Bado --------------- Kante ------------

Bado ----------- Badiashile -------- Silva --------- James

---------------- Striker bado--------------------------

Hii line up inaonyesha jinsi gape la usajili lilivyo kubwa

Winger wa kulia Madueke anaweza kupunguza uhitaji

LB sikumuweka Chilwell kwa sababu anajivuta sana kurudi kwenye form akitoka majeruhi tofauti na James Jembe

So wacheza class tuitawahitaji

Kipa yule wa Brentford ni mzuri sana, kwenye saves tu msimu huu ndie anaongoza
Labd akwenye LB Hall akilifanyia kazi eneo la maamuzi ya haraka sehemu zilziobaki ana composure nzuri
Kwenye Striker labda Fofana anaweza kutupunguzia mzigo wa kwenda sokoni hapo
Naimani sana kwa sasa tunahitaj kiungo, Endapo tukapat hata mid 1 january hii,
Summer tutahitaj wacheza wachache tu kama watatu

Nafurahi hata jinsi tunavyofanya sajili na hizi tetes, hii january. Ile recruitment team unaona kabisa kazi wanayoifanya tho bado mapema.

Tuchel talent id yake iko zero usema kweli. NI Makocha wanaohitaji mature na si mchezaj amdevelop au awe nawe, Zile sajili za summer nikama tuliharib hela tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom