Sawa dada badilisha sasa hiyo pad maana unayo toka asubuhiMudryky ni upgrade ya Timo Werner
Sawa dada badilisha sasa hiyo pad maana unayo toka asubuhiMudryky ni upgrade ya Timo Werner
Hapa majirani ni kama mmepata mtu. Apate tu mwalimu anayeweza kukiboost kipaji.Mudryky ni upgrade ya Timo Werner
Hapa majirani ni kama mmepata mtu. Apate tu mwalimu anayeweza kukiboost kipaji.Mudryky ni upgrade ya Timo Werner
Tushazoea nyie ni wapigwajiChelsea inamfukuzia huyu RB wa Lyon
Jina: Malo Gusto
Timu: Lyona
Uraia: Mfaransa
Nafasi: RB
Uwezo wake: Kukaa na mpira, pace na physicality
Udhaifu wake: Kushoot
Bei yake ya sokoni: Paundi mil 35
![]()
Mount hafai hata kuanza kwa sasa,Leo Chelsea wa.eimprove kwenye kupress, bado tu ball controll na decision maki
Hall bado ana kigugumizi cha maamuzi
Chunkwuemeka naye anayo. Havertz kajitahidi ila bado slender hachezi kama EPL, Galagher anatakiwa aongeze tactical and technical balling.
Kule ntuma Silva na Badiashile wametuliza Meli kabisa. Makosa bado kwa sababu haijabalnce kwa sababu ya uwepo wa Cucurella na Chalobah
Kiungo hatuna kabisa japo Jorginho leo kajitahidi. Natamani Kante angekuwepo na kiungo mbunifu kwenye attack
Mudryk ana almost 2 month hajacheza so asingeweza kumrisk ili asipate majeruhiKocha angemrisk akaanza tungeshinda
Tofauti ya Mudryk na hao akina Havertz
Mudryk hata kwenye presure kubwa bado anaweza kucheza mpira wakati akina HAvertz and co hadi iwe open play
Ukiangali ule mpira aliouchukua mguuni mwa Galagher kaenda nao hadi golini kawapita dfenda kama watatu hivi
Pia ule aliompasia Chinkwuemeka mara mbili hadi kijana kidogo atapike nyongo kwa kasi kubwa ya Mudryk
[emoji23][emoji23] mudy anajua ,sema kaikuta chelsea inajitafutaHichi ni mojawapo ya vitu vilivyo mfanya Klopp amtoe Milner harakka
![]()
Huyu tukikaa sawa mbona mtamkoma maana.[emoji23][emoji23] mudy anajua ,sema kaikuta chelsea inajitafuta
Naelewa sasa kwa nini deal la Mudryk umeumia sana[emoji1666][emoji1666][emoji23][emoji23] mudy anajua ,sema kaikuta chelsea inajitafuta
Hapana maisha yanaendelea ,ila nilivyomuona leo anahitaji kucheza na wenzake wenye kasiNaelewa sasa kwa nini deal la Mudryk umeumia sana[emoji1666][emoji1666]
Nahisi tumempata mrithi wa hazard sasa.Hapana maisha yanaendelea ,ila nilivyomuona leo anahitaji kucheza na wenzake wenye kasi
Yupo na speed sana, mzuri kwenye tight spaces
Ana pass nzuri,
Yule chukwuemeka angetapika maana alishindwa kuemdana na kasi
Mechi 2Utasema amekuwepo mda mrefu vile, ndio kwanza mechi yake ya 2 ila unamuona yuko calm ,