peter mwakyeja
Member
- Sep 4, 2022
- 54
- 88
Uje na data zako baada ya game
Usubir umuone nafasi atakayokuwa anachezaKumbe Lewis Hall anacheza winga au Google ndio wamechemsha nini. Ngoja tusubiri line up ya Suppersport
Dah hii line up hii ndio maana uongozi unasajili[emoji23][emoji23]
Huu sasa ni utani wa ngumi huu [emoji1787][emoji16][emoji1787]
View attachment 2489757
Niko hapa Daktari Bingwa wake na dawa za methadone dozen [emoji28]Unaumia kutoka wapi?
Taja jina lako?
Tatizo hilo la akili lilikuanza lini?
Ulishapata matibabu wapi?
Je ulishawahi kuwa mchezaji wa mpira?
Taja kabila lako
Taja na dini yako
Umeoa/umeolewa?
Umeza watoto?
Kama ndio wangapi
Vyanzo vyako vya mapato
Kwa mwaka unapata shilingi ngapi?
Maumivu yakizidi kamuone daktari bingwa wa Akili atakusaidia
Consistency ya Wachezaji haijengwi ghafla ghafla kama bumu la M betting, nyau wewe [emoji23]Acheni kujificha kwenye kichaka cha injury
Hao waliopo walete matokeo
Kocha angerisk tu kumuweka Cucurela bench huyu Lewis Hall ashuke chini then aanze na Mudryk. Keshafanya mazoezi na timu sioni sababu kumuanzisha bench
😂Pwagu na pwaguzi