Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Uongozi unaweza kuchagua katika michezo hiyo mitatu upi acheze kisha ule mchezo wa nne ambao ungefaa awe free akamalizia adhabu yake.
Nadhani sheria inasema game zinazofuata, hii ya kwako naisikia leo. Sheria ya red card ni suspension na unapopewa adhabu huruhusiwa kuchagua utaitekeleza kivipi. 3 consecutive games until the punishment is over. Huyo tutakutana naye tarehe 11/2/2023 mechi na Westham
 
Fuatilia zaidi, endelea kujifunza usiwe mvivu kiasi hicho.
Nadhani sheria inasema game zinazofuata, hii ya kwako naisikia leo. Sheria ya red card ni suspension na unapopewa adhabu huruhusiwa kuchagua utaitekeleza kivipi. 3 consecutive games until the punishment is over. Huyo tutakutana naye tarehe 11/2/2023 mechi na Westham
 
JOAO FELIX

FmNG5zKakAAY9a9
 
Uongozi unaweza kuchagua katika michezo hiyo mitatu upi acheze kisha ule mchezo wa nne ambao ungefaa awe free akamalizia adhabu yake.
labda kwa Sheria za TFF hizi[emoji1787]

Straight red card unakosa game 3 zinazofatana ni kitu kikowazi hichi
Game anazokosa Felix ni
Crystal palace[emoji736]
Liverpool
Fulham.
 
Huyu dogo kama uongozi umemsajili kwa sababu ya uraia na umri wake basi ila kama ni tofauti na hivyo ni hamna kitu kabisa.
 
At
Kuna jamaa kwachambua baadhi ya Midfilders na kuonyesha jinsi Caicedo kwa bei hiy hatatufaa
Hata Enzo Fernandez tulikuwa tunatupa pesa za bure kwa kudanyangwa na award ya WC

Kwa analyssis yakle hapo chini Orkun Kokcu ni mturuki mwenye miaka 22 tu anaichezea klabu ya Feyenoord kule kwa Wadachi. Scout team kwa nini wasiomuone mchezaji kama huyu.
Yeye ni mzuri kwenye Attacking zaidi ambayo ndio eneo mojawapo la hovyo kwa wachezaji tulionao wa kiungo

View attachment 2487773

licensed-image
W enzo lee fee ni mzur san
 
Wakat Roman Abramovich anatangaza kuuza team, watu wengi walisema ndio mwisho wa kutumia pesa Chelsea. Yani watu wakawa wanasema hatuna uwezo wa kwenda toe to toe na hawa wakubwa kwenye issue ya pesa.

Wengine wakawa wanasema mmeisha kwa kupata wamarekani

Boehly-Clearlake wanachokifanya sasa kila mtu anauliza ffp iko wapi[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wakat Roman Abramovich anatangaza kuuza team, watu wengi walisema ndio mwisho wa kutumia pesa Chelsea. Yani watu wakawa wanasema hatuna uwezo wa kwenda toe to toe na hawa wakubwa kwenye issue ya pesa.

Wengine wakawa wanasema mmeisha kwa kupata wamarekani

Boehly-Clearlake wanachokifanya sasa kila mtu anauliza ffp iko wapi[emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbuka wanasajiri kupitia zile hela zao ambazo wamenunulia timu hazitoki mifukoni mwao tusubiri baada ya miaka 5 mbele ndo tutajua rangi zao vizuri

Pia wana deni la ujenzi wa uwanja ktk makubaliano waliyo wekewa baada hapo sijui kama kutakuwa na usajiri wa namna hii tena huku wakiamini project yao itakuwa inafanya kazi vizuri
 
Merphis Depay to Atletico De Madrid hii ina maana sasa Barcelona watamchukua Aubameyang hata bure wapewe tu kwa sababu Auba moyo wake hauko darajani kabisa
 
Kumbuka wanasajiri kupitia zile hela zao ambazo wamenunulia timu hazitoki mifukoni mwao tusubiri baada ya miaka 5 mbele ndo tutajua rangi zao vizuri

Pia wana deni la ujenzi wa uwanja ktk makubaliano waliyo wekewa baada hapo sijui kama kutakuwa na usajiri wa namna hii tena huku wakiamini project yao itakuwa inafanya kazi vizuri
Ya mbele itajieleza yenyewe na pesa ziwe zao au za kununua timu sio issue, sisi tunachojali usajili umeenda vizuri na huko unakosema ya miaka mitano tutakuwa na timu hatari ambayo kila mchezaji kinara atapigania kuja Chelsea. HAwa maono yao pia ni kuwa na academy nzuri yenye kuwatoa wachezaji wazuri badala ya kutegemea kununua wachezaji ghali. Chelsea pia itanunua vilabu sehemu mbalimbali duniani ili kusaka vipaji kwa bei nafuu
 
Wakat Roman Abramovich anatangaza kuuza team, watu wengi walisema ndio mwisho wa kutumia pesa Chelsea. Yani watu wakawa wanasema hatuna uwezo wa kwenda toe to toe na hawa wakubwa kwenye issue ya pesa.

Wengine wakawa wanasema mmeisha kwa kupata wamarekani

Boehly-Clearlake wanachokifanya sasa kila mtu anauliza ffp iko wapi[emoji23][emoji23][emoji23]
Wapumbavu wamekariri siku zote Wamarekani ni Waha/Wapare kuhusu pesa kumbe si kila aishiye karibu na mahakama atakuwa anajua sheria [emoji28]
 
Kumbuka wanasajiri kupitia zile hela zao ambazo wamenunulia timu hazitoki mifukoni mwao tusubiri baada ya miaka 5 mbele ndo tutajua rangi zao vizuri

Pia wana deni la ujenzi wa uwanja ktk makubaliano waliyo wekewa baada hapo sijui kama kutakuwa na usajiri wa namna hii tena huku wakiamini project yao itakuwa inafanya kazi vizuri
Kama wanataka kupiga pesa lazima wa mwage pesa.

Me kinachonipa matumain ni jins wanavyoiendesha LA Dodgers.

Endapo usajil tuliofanga sasa ukalipa, miaka mitano ijayo itakuwa tunaboresha tu kikosi sio kwa pesa nyingi, maana wachezaj wengi tunaowasajil ni chini ya miaka 25, unategeme ndani ya miaka 5 ijayo watakuwa kwenye 26-28 hivi na hiyo ndio peak yao.

Ukifatilia Interview za Boehly/Eghbal unaona kabisa wanataka wafanikiwe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom