Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

484795_905921106114773_1952452070_n.jpg



1546308_905846459455571_2136743860_n.jpg
 
zinatumia lakini tofauti na timu hizo na Chelsea ni kwamba Chelsea ina wachezaji 3 hatari sana katika eneo la viungo washambuliaji: Willian-Oscar-Hazard
Yah Mou anaupenda sn huo mfumo kwa sasa. Lkn timu nyingi msimu huu zimeonekana kuutumia huu mfumo sn!
 
Mkuu wangu Mentor asante kwa mchango wako!
Unajua unapotupia hivyo vitu vyako tunafurahi..Mimi na wadau wengine wa jukwaa hili tunataka Chelsea Fc thread iwe sehemu ya hoja za kitaalam muda wote;
cc: Ntuzu, Chivaro + wengine.
 
zinatumia lakini tofauti na timu hizo na Chelsea ni kwamba Chelsea ina wachezaji 3 hatari sana katika eneo la viungo washambuliaji: Willian-Oscar-Hazard


Kuna Kipindi Fc Porto ilikua juu sn! Wakati Wa akina Quaresma! Walikua wanacheza 4 3 3 vizuri sn.

Game mbili za UCL nusu fainali ilibidi Grant ampange Essien Beki Wa kulia kwaajili ya kumzuia Quaresma.

Lkn huyo Quaresma alivyokuja Darajani hakuonesha cheche Km alivyokua Fc Porto!
 
Mkuu wangu Mentor asante kwa mchango wako!
Unajua unapotupia hivyo vitu vyako tunafurahi..Mimi na wadau wengine wa jukwaa hili tunataka Chelsea Fc thread iwe sehemu ya hoja za kitaalam muda wote;
cc: Ntuzu, Chivaro + wengine.

Mwanangu ata Mimi nimeipenda sn hiyo.

Asante sn Mkuu Mentor
 
Last edited by a moderator:
Hata ile mechi ya Barcelona vs Chelsea 2009 round ya kwanza kule Nou Camp Mikel na Ballack walicheza kiungo cha kukaba, Essien akacheza beki #2, wakati huo kocha wetu alikuwa mzee Guus Hidink tulitoka 0-0 mechi hiyo. Mechi ya Marudiano tukatoka 1-1 nyumbani Stanford Bridge. Goli la Essien dakika ya 16 lilikuwa goli bora la mwaka 2009 kwa timu ya Chelsea.
Kuna Kipindi Fc Porto ilikua juu sn! Wakati Wa akina Quaresma! Walikua wanacheza 4 3 3 vizuri sn.

Game mbili za UCL nusu fainali ilibidi Grant ampange Essien Beki Wa kulia kwaajili ya kumzuia Quaresma.

Lkn huyo Quaresma alivyokuja Darajani hakuonesha cheche Km alivyokua Fc Porto!
 
Ryan Betrand #34 beki wetu wa kushoto(kiraka) amepelekwa kwa mkopo Aston Villa hadi mwishoni mwa msimu huu.
Kelvin De Bruyne #15 kiungo mshambuliaji mwenye kipaji; atarudi ligi ya Ujerumani, jana alienda kufanyiwa vipimo huko Bundesliga.
 
Lampard game ya j2 atacheza uwanjani baada ya kuumia misuri ktk game ya Ushindi ya 2 kwa 1 dhidi ya Liverpool. Na Ivanovic hatoweza kucheza hiyo game ya j2 ijayo!

Na mchezaji wetu mgeni Matic atacheza kwa muda Fulani ila hatoanza tangu mwanzo!
 
Hata ile mechi ya Barcelona vs Chelsea 2009 round ya kwanza kule Nou Camp Mikel na Ballack walicheza kiungo cha kukaba, Essien akacheza beki #2, wakati huo kocha wetu alikuwa mzee Guus Hidink tulitoka 0-0 mechi hiyo. Mechi ya Marudiano tukatoka 1-1 nyumbani Stanford Bridge. Goli la Essien dakika ya 16 lilikuwa goli bora la mwaka 2009 kwa timu ya Chelsea.

Nazikumbuka Hizi game vizuri sn!

Tena game ya pale Darajani tulifungwa Hilo goli na Iniesta mpira dakika zikiwa zimekwisha kabisa na Refa akawa anaacha tu mpira uendelee!

Nakumbuka Mzee Guus alilalamika sn kwa refa kufanya hivyo!

Siku zote ukitaka kuifunga Chelsea lazima uifanyie Fitina mbaya ndo uishinde!
 
Mpaka hapa sasa tayari tumeanza kupata picha kua golini atakaa Cech. Na Beki ya kulia ni C Azz, na ya kushto ni A Coly. Na Beki za Kati Terry na Cahill.

Na kiungo cha Kati Lampard uhakika huo Wa kucheza tayari upo! Na bila Shaka atakua na Ramirez Pamoja na Obi ataanza kwa ajili ya kukabilia na viungo Wa Man Utd Pamoja na vurugu za Daniel Welback. Lazima tuwe na mtu Mwenye nguvu pale Kati.

Kwa upande Wa viungo Wa pembeni bila Shaka Willian na Hazard wataanza.

Striker bado tutaenda tunaangalia Kati ya Eto'o Na Torres nani atawasumbua mabeki Wa Man Utd?!
 
Nyie akina Ntuzu story zenu hata sizielewi kabisa....mfumo,mfumo huku mnachezea kichapo...hahaaaa, ngojeni tarehe 19 hapo
 
Last edited by a moderator:
Nyie akina Ntuzu story zenu hata sizielewi kabisa....mfumo,mfumo huku mnachezea kichapo...hahaaaa, ngojeni tarehe 19 hapo


Lazima usizielewe kwasababu Filosofa ya mpira hauijui na Hasa ya Chelsea!

Kaa utulie une mpira Msafi siku hiyo!
 
Last edited by a moderator:
Lampard game ya j2 atacheza uwanjani baada ya kuumia misuri ktk game ya Ushindi ya 2 kwa 1 dhidi ya Liverpool. Na Ivanovic hatoweza kucheza hiyo game ya j2 ijayo!

Na mchezaji wetu mgeni Matic atacheza kwa muda Fulani ila hatoanza tangu mwanzo!


Umesema kweli; hata website ya Chelsea wamesema hivyo leo hii; huenda Nemanja Matica akacheza gemu ya j'pili.
 
Huyo Siziga ana matatizo au ? Samahani sitaki kumdharau mtu lakini msimamo wa ligi unasemaje?
Timu zilizofungwa mechi chache: Everton = 2, Chelsea = 3, Arsenal = 3! Sasa tunachezea kichapo wapi na lini?
Lazima usizielewe kwasababu Filosofa ya mpira hauijui na Hasa ya Chelsea!

Kaa utulie une mpira Msafi siku hiyo!
 
Ile mechi ilikuwa kama imepangwa sisi tutolewe; maana msimu uliotangulia 2007/2008 tulicheza fainali na Man Utd Moscow, sasa tena tulikuwa tunashinda kirahisi siku ile lakini refa akatuminya ili tusiingie fainali 2 mfululizo: Balack alipa shuti golini kwa Barcelona, Seydou Keita alizuia mpira kwa mkoni(hakuna penati), Nicolaus Anelka alimzunguka G. Pique akaushika mpira kwa kiganja chote(akaudaka) lakini hakuna penati, ilikuwa siku ngumu sana.
Nazikumbuka Hizi game vizuri sn!

Tena game ya pale Darajani tulifungwa Hilo goli na Iniesta mpira dakika zikiwa zimekwisha kabisa na Refa akawa anaacha tu mpira uendelee!

Nakumbuka Mzee Guus alilalamika sn kwa refa kufanya hivyo!

Siku zote ukitaka kuifunga Chelsea lazima uifanyie Fitina mbaya ndo uishinde!
 
Huyo Siziga ana matatizo au ? Samahani sitaki kumdharau mtu lakini msimamo wa ligi unasemaje?
Timu zilizofungwa mechi chache: Everton = 2, Chelsea = 3, Arsenal = 3! Sasa tunachezea kichapo wapi na lini?

Mkuu huyo Sizinga asikuumize kichwa! Wewe si unamuona anasema haelewi anaona madudu tu!
 
Last edited by a moderator:
Angalia timu za uingereza uone ipi ni jembe kimataifa ndo uje useme hivyo!

Waulize Fc Barcelona au Fc B Munich au Waulize makocha wakubwa wote unaowafahamu duniani watakuambia mziki Wa Chelsea ukoje?

Miaka ya 1980 ilikua Miaka ya Liverpool

Na Miaka ya 1990 ilikua ya Man Utd

Chelsea ndio imevuruga zama za Arsenal Miaka ya 2000,

Na sasa ndio zama za Chelsea kwa Epl na Ucl.

Na Miaka yote hiyo tangu nyuma Chelsea sio Km walikua wanaburuza mkia hapana! Walikua wanashika nafasi nzuri tu!
Hata msimu wa 1994 walikuwa wapi?epl au,kasomeni data sio mnashabikia chelsea wengi wenu baada ya Abramovich kununua timu,binafsi ninaamini wengi wa washabiki wa chelsea ni mamluki na wameanza kushabikia mwaka 2004,hata everton wanashika nafasi nzuri kila msimu na hawasajili majina makubwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom