Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nazikumbuka Hizi game vizuri sn!

Tena game ya pale Darajani tulifungwa Hilo goli na Iniesta mpira dakika zikiwa zimekwisha kabisa na Refa akawa anaacha tu mpira uendelee!

Nakumbuka Mzee Guus alilalamika sn kwa refa kufanya hivyo!

Siku zote ukitaka kuifunga Chelsea lazima uifanyie Fitina mbaya ndo uishinde!

Hilo goli la Iniesta lilinifanya niumwe week nzima!
 
Ndio ujue mtu anapenda timu yake kweli kweli!
Mbona nyie kule mnatuletea shombo sana...tena mnatuita hadi majina...manake hata kama tupo chemba lazima tuje jukwaani ..mnakeraje!!
 
Torress anatosha bhana...Falcao mtampata Summer


Strikers kwa sasa hatuna muhimu sn kuongeza lkn nilichogundua Jose anafanya usajiri kimya kimya! Alafu pia hawezi kwa sasaivi kuleta striker atawapa presha Akina Torres na Ba na Eto'o ambao kwa sasa wameonekana kutulia na kucheza kweli kweli! Sasa wakiona mtu mwingine Lazima wachanganyikiwe!
 
Mbona nyie kule mnatuletea shombo sana...tena mnatuita hadi majina...manake hata kama tupo chemba lazima tuje jukwaani ..mnakeraje!!



Tulia bhana Na wewe na hicho kibesi chako! Mambo ya mpira ndivyo yalivyo!
 
We Ntuzu hembu waambie wenzako watulize mzuka...manake hawajui ushabiki, wanaprovoke sana, kuwachalenji kidogo tu wanajaa kaa fuu la mkaa...Dah washabiki mav.i hawa, hili Jukwaa sio kabisa.

mtu kula simba ni story ya kawaida ila simba kula mtu ni story kubwa. Wakaushie mwanangu hawajui london alwayz is red.
 
Last edited by a moderator:
mtu kula simba ni story ya kawaida ila simba kula mtu ni story kubwa. Wakaushie mwanangu hawajui london alwayz is red.


Karibu jukwaa la Mabingwa ndugu Yangu!

Maana Najua wewe ni Msukuma mwenzangu! Tangu lini Msukuma akapenda rangi nyekundu? Wasukuma hupenda rangi za Blue. Kaulize wazee wakusaidie!
 
Mashetan wekundu watamfukuzisha mropokaj morinho pale darajan


Mourinho kibarua chake kiko Salama kabisa. Sio Kocha wenu Moyes ndio wakuonea huruma! Kesho akifungwa Moyes kuna dalili ya kupigwa chini. Kwanza mpaka sasaivi ameshaipa hasara timu Zaidi ya million 220 euro. Kila kitu kimeporomoka pale Man Utd.
 
Karibu jukwaa la Mabingwa ndugu Yangu!

Maana Najua wewe ni Msukuma mwenzangu! Tangu lini Msukuma akapenda rangi nyekundu? Wasukuma hupenda rangi za Blue. Kaulize wazee wakusaidie!

hahah n2zu sisi wasukuma 2napenda sana rangi nyeupe kupita maelezo. Na nyeupe bila swahiba wake nyekundu hajisikii raha.
 
hahah n2zu sisi wasukuma 2napenda sana rangi nyeupe kupita maelezo. Na nyeupe bila swahiba wake nyekundu hajisikii raha.


Wewe utakua sio Msukuma! Utakua Msukuma Luseni yani Msukuma Wa kuchovya! Tangu lini Wasukuma wakapenda rangi nyeupe? Kwani wamekua wauguzi? Utachunga ng'ombe na nguo nyeupe si itachafuka siku moja! Au Utachunga ng'ombe na nguo nyekundu si utapigwa na radi? Au umesahau Imani zetu?

Sisi rangi zetu ni Blue Na kaniki zile nyeusi!

Wewe njoo huku kwa Mabingwa uinue ndoo mbili Mwaka huu ya UCL na EPL.

In Chelsea We trust.
 
Wewe utakua sio Msukuma! Utakua Msukuma Luseni yani Msukuma Wa kuchovya! Tangu lini Wasukuma wakapenda rangi nyeupe? Kwani wamekua wauguzi? Utachunga ng'ombe na nguo nyeupe si itachafuka siku moja! Au Utachunga ng'ombe na nguo nyekundu si utapigwa na radi? Au umesahau Imani zetu?

Sisi rangi zetu ni Blue Na kaniki zile nyeusi!

Wewe njoo huku kwa Mabingwa uinue ndoo mbili Mwaka huu ya UCL na EPL.

In Chelsea We trust.

Mami,

Nadhani alikuwa anamaanisha rangi ya akina Kabula.....Weupe wa akina mama, Kwamba akina Mami wanapenda sana weupe wa akina Kabula..
 
Nashukuru mpaka saizi Jose ameonesha hana mpango Wa kumuuza David Luiz.

Keep it up Luiz!
 
Mami,

Nadhani alikuwa anamaanisha rangi ya akina Kabula.....Weupe wa akina mama, Kwamba akina Mami wanapenda sana weupe wa akina Kabula..

Wewe Balantanda weweeee! Unataka uwavunjie heshima Wenzako?
cc: rockcity Native njoo uone mwenzako anavyo sema huku?
 
Last edited by a moderator:
Wewe utakua sio Msukuma! Utakua Msukuma Luseni yani Msukuma Wa kuchovya! Tangu lini Wasukuma wakapenda rangi nyeupe? Kwani wamekua wauguzi? Utachunga ng'ombe na nguo nyeupe si itachafuka siku moja! Au Utachunga ng'ombe na nguo nyekundu si utapigwa na radi? Au umesahau Imani zetu?

Sisi rangi zetu ni Blue Na kaniki zile nyeusi!

Wewe njoo huku kwa Mabingwa uinue ndoo mbili Mwaka huu ya UCL na EPL.

In Chelsea We trust.

Kinehe? Ulimhola....!!!?
 
Statistics za game zetu na manchester



.

Our last 10 league meetings at Stamford Bridge
2003/04 - Chelsea won 1-0 2004/05 - Chelsea won 1-0 2005/06 - Chelsea won 3-0 2006/07 - Drew 0-0 2007/08- Chelsea won 2-1 2008/09 - Drew 1-1 2009/10- Chelsea won 1-0 2010/11 - Chelsea won 2-1 2011/12 - Drew 3-3 2012/13 - Man Utd won 3-2
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom