Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mnapoteza muda tu

MCHEZAJI kila Siku analilia kuja Arsenal

MCHEZAJI alifanya interview akasema hata Madrid haendi
Na Arsenal mmeshindwa kufikia dau
Maoni yangu
  1. Sisi Chelsea hatutamchukua mchezaji wenu kama mtafikia dau
  2. Pia hatutamchukua kama hatataka kwa hiari yake kuja Chelsea
  3. Mkishindwa kabisa kumchukua, Mykhailo atabadili mwelekeo kwani shauku yake kubwa ni kuja EPL, ila mkiweza kufikia dau la Eur 100M basi mchezaji ni wenu. Ila mjue Shaktar hawatakubali chini ya hapo kwa sababu Boehly ameshamwambia sporting director wa Shkhtar yeye yuko tayari kulipo hiyo pesa
  4. So sasa tunawasubiri ninyi mshindwe. kama ulkikuwa hujui hilo taarifa ya mjini ndio hiyo
 
Kocha mzuri huwa hasuburi muda mrefu sana kusuka kikosi, bado nina wasiwasi na uwezo wa huyu kocha. Ana game 3 zijazo akipigwa zote aisee anasepeshwa hakutakuwa na mamna uwekeze kiasi hicho afu usicheze champions league.
3 factors combined, mara chache makocha kukutana na hayo mazingira ya changamoto 3 kutokea kwa mara moja
 
Todd na genge lake ni wangese , hii laana ya yule Myahudi Abramovich haitaacha salama hii timu ,wamrudishie mali yake,mtu kaitengemeza timu na kupaisha timu iliyokuwa haina mbele wala nyuma from nowhere ikaanza kubeba lundo la trophies ndani ya muda mfupi sana na kuwa na thamani kubwa vile halafu mali ichukuliwe na ngedere flani Tu from nowhere , hell no, hata Mungu hakubali hii , hata hao wachezaji walionunuliwa si ajabu wakaflop tu
 

Chelsea newcomer David Datro Fofana's boyhood club, Abidjan City, have written to FIFA to try and STOP his £8m move to Stamford Bridge - claiming his previous move to Molde was unlawful as his mother didn't sign a consent form for him to leave​

 

Chelsea newcomer David Datro Fofana's boyhood club, Abidjan City, have written to FIFA to try and STOP his £8m move to Stamford Bridge - claiming his previous move to Molde was unlawful as his mother didn't sign a consent form for him to leave​

Kila wanachofanya akifanikiwi ,ni laana ya Abramovich hiyo 🤣🤣🤣🤣🤣, mi nilishaliona hili
 
Kuna tetesi zinamuhusisha huyu mama kurudi darajani. Sijui ni kweli?

Hii ni kitokana na hali ya wachezaji kupata injuries tena wengi wa kikosi cha kwanza. Timu madaktarina makocha wa viungo nahisi hawafanyi kazi zao kisawasawa. View attachment 2472098View attachment 2472102
Nilishaliongelea hili humu kuna jamaa akaniponda sana ,sio kawaida kabisa Chelsea kuwa na injuries nyingi hivi ,hilo nalo ni tatizo kubwa yaani nusu ya kikosi ni injuries msimu mzima ,what the f**k ,watumishi hewa ni nusu ya kikosi sasa unakuwa unafanya nini hapo ,unanunua wachezaji kuja kupasha moto benchi na kula mshahara wa bure
 
Leo City anaenda kutulaza na viatu tena, inabidi tupambane kiume walau tumfunge 1 bila inatosha kutuvusha.
Tukishindwa hapo maana yake msimu huu hatutachukua chochote coz Uefa hatutafika final.
 
Fl9ds7rXEAAcbvV.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom