Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

1673197611383.png

Kinumbo , a.k.a tajiri miluzi
 
Dah Chelsea mnatia huruma !
Kule mbele hamna supplier mzuri,,,, kipa wa city Ni Kama yuko likizo !

Timu haina muunganiko !

Kalidou kapatwa na Nini ? Au umri ? Huyu sio yule stopper wa Napoli ! Sio ajabu passport inasoma 31/32 lakini kiuhalisia huenda ana 40 , ndo kawaida yetu Africans !
 
Polen jamn,mm after HT siangalii tena mana nawaonea huruma sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Pooor pooor pooor.

Jorginho,Havertz,Mount,Galagher yani kama ni kuondoka hawa waanze kuondoka. Pooor
Hata Kova hakuna kitu, Beki ni Silva alikuwa anatubeba
Timu nzima approach ya game is poor poor
City wanapass mpira kwa haraka, sisi tunapata mpira tunazubaa nao
City wakipoteza ni msako mchezaji kwa mchezaji wanawahi kukaba kabla hujapasiwa mpira, sisi Chelsea tukipoteza mpira tunabaki kuangalia na kukaba kwa macho. Shit, hata kama tunajenga timu sio kwa mabua kiasi hiki

NAUNGA MKONO HUYU KOCHA ATIMULIWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom