Sweta LA Tanzania
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 902
- 2,838
Sajili mbovu za Tuchel na Boehly ndio zimetufanya tuwe hapa tulipo.Chelsea imetumia zaidi ya pound milion 300, lakini inaonekana kuwa bado wapo mbali sana na makombe.... Je tatizo lipo wapi? tujadiliane..
Binafsi naona kocha viatu havimtoshi...
Julian Lapotegeu kajiunga WolvesMimi sintajali sana akitimuliwa ila nitajali sana nani atampokea
Kama ni Conte sawa, zaidi ya Conte sioni kocha bora zaidi yake
wako hawa
- Mauricio Pochettino
- Zinedine Zidane,
- Thomas Tuchel
- Marcelo Bielsa
- Ole Gunnar Solskjaer
- Rafael Benitez
- Joachim Low
- Luis Enrique
- Roberto Martínez
- Julen Lopetegui
Ukwelo mchungu ambao watu hawataki kuukubalinaona pia tatizo la kununua wachezaji bila ya sporting director WA maana huenda ikawa ndo shida ....Tuchel naye kwenye kusajili naona km anakwama na wachezaji hawa ambao walikuwa second choices baada ya first choices wengi kutukataa ...the likes ya kina deligt and co. Kwa hapa Kocha naona atakuwa anaonewa Tu ..kwahawa wachezaji wa sahv tena na injury list imeongezeka hata ukimleta Conte au mourinho bado tutastruggle ...
Katika hao waliobaki ambao wako huru nani anaweza kuifanya Chelsea ipande viwango, ndio issue ya msingiJulian Lapotegeu kajiunga Wolves
Rafael Benitez ndio naona anawezaMimi sintajali sana akitimuliwa ila nitajali sana nani atampokea
Kama ni Conte sawa, zaidi ya Conte sioni kocha bora zaidi yake
wako hawa
- Mauricio Pochettino
- Zinedine Zidane,
- Thomas Tuchel
- Marcelo Bielsa
- Ole Gunnar Solskjaer
- Rafael Benitez
- Joachim Low
- Luis Enrique
- Roberto Martínez
- Julen Lopetegui
Luis Enrique ni mzuri, ni mtu anaweza fanya maamuzi magumu na si mtu wa kukubal kila jamboKatika hao waliobaki ambao wako huru nani anaweza kuifanya Chelsea ipande viwango, ndio issue ya msingi
Kocha mwenye falsafa ya ukatili na winning mentality. Wote hao hakuna zaidi ya Conte
Kila player mnamtaka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Chelsea have reportedly joined the race of clubs interested in signing Borussia Monchengladbach striker Marcus Thuram.
The French international is also believed to be wanted by Premier League rivals Manchester United.
The 25-year-old is out of contract in the summer, with many clubs lining up contracts for him to sign on a free transfer.
However, Chelsea are willing to pay the Bundesliga side a cut-price fee now in order to sign him this month, according to Foot Mercato.
Huyu Benitez aliyeshindwa Everton,Rafael Benitez ndio naona anaweza
Kwahiyo nyie KENGE wote mmekubaliana na kenge mwenzenu kuwa CHELKENGE mkimaliza nafasi zenu za 10 huko KENGE wote hamtomvumilia kocha????[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2470840