Interlacustrine E
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 3,396
- 6,024
Kitu hicho cha kutingisha nyavu[emoji116]
Unamzungumziaje huyu David Fofana uwezo wake alipotokea na atavyoweza kukichafua Stamford Bridge?Official.
David Fofana atajiunga na Chelsea hapo tareh 1 january pindi dirisha litakapofunguliwa.
Mateo na ziyech wamerudi leoWachezaji walioko Injuries na Return Dates kwa leo 28/12/2022
Total injuries = 6
Wengine ambao watachelewa kuwepo kwa sababu ya off ya wiki moja baada ya World Cup ni
- Reece James, majeruhi - no return date
- Wesley Fofana, majeruhi- 08/01/2023
- Ben Chilwell majeruhi- 05/01/2023
- N'Golo Kante, majeruhi anarudi 04/03/2023
- Ruben Loftus-Cheek, majeruhi- 05/01/2023
- Armando Broja - majeruhi - no return date
- Hakim Ziyech - Off for one week - 01/01/2023
- Mateo Kovacic - Off for one week - 01/01/2023
- Carney Chukwuemeka majeruhi- Kaondolewa kwenye injury list
Hili timu lenu bora libadilishwe jina tu from CFC to Cheusiiii Orthopaedic Institute (COI)Wachezaji walioko Injuries na Return Dates kwa leo 28/12/2022
Total injuries = 6
Wengine ambao watachelewa kuwepo kwa sababu ya off ya wiki moja baada ya World Cup ni
- Reece James, majeruhi - no return date
- Wesley Fofana, majeruhi- 08/01/2023
- Ben Chilwell majeruhi- 05/01/2023
- N'Golo Kante, majeruhi anarudi 04/03/2023
- Ruben Loftus-Cheek, majeruhi- 05/01/2023
- Armando Broja - majeruhi - no return date
- Hakim Ziyech - Off for one week - 01/01/2023
- Mateo Kovacic - Off for one week - 01/01/2023
- Carney Chukwuemeka majeruhi- Kaondolewa kwenye injury list
Omba hiyo kitu isiikute team yako utalia na kusaga menoHili timu lenu bora libadilishwe jina tu from CFC to Cheusiiii Orthopaedic Institute (COI)
Story za humu kila siku ni majeruhi tu.
Hizi kenge zitakua na upungufu wa madini ya Calcium sio bure, inabidi wapishi wenu waanze kuwachanganyia chokaa kwenye msosi.
Wachezaji walioko Injuries na Return Dates kwa leo 28/12/2022
Total injuries = 6
Wengine ambao watachelewa kuwepo kwa sababu ya off ya wiki moja baada ya World Cup ni
- Reece James, majeruhi - no return date
- Wesley Fofana, majeruhi- 08/01/2023
- Ben Chilwell majeruhi- 05/01/2023
- N'Golo Kante, majeruhi anarudi 04/03/2023
- Ruben Loftus-Cheek, majeruhi- 05/01/2023
- Armando Broja - majeruhi - no return date
- Hakim Ziyech - Off for one week - 01/01/2023
- Mateo Kovacic - Off for one week - 01/01/2023
- Carney Chukwuemeka majeruhi- Kaondolewa kwenye injury list
Kwa sababu ya mechi ya jumapili mwaka mpya ya tarehe 1/1/2023. Ndio tarehe waliotarajiwa kuwepo kikosiniZiyech na Kovacic wamerejea leo mazoezin, source-official website
Huyu naye atakuwa flop kama hatuna midfilder ... Niko paleeee.Kitu hicho cha kutingisha nyavu[emoji116]View attachment 2461217View attachment 2461218
Release clause yake ni bei gani?Tetesi
Deal la Enzo Fernandes lina ugumu kidogo.
Changamoto ni atakae activate release clause yake anapaswa kulipa kiasi chote kwa wakat mmoja na si kwa mafungu(awamu).
Chelsea wanataka walipe zaidi ya release clause yake ili iwe rahisi kwenye malipo, wanataka kulipa katika awamu mbalimbali.
Benfica kupitia raisi wao wanasema kwa team yoyote inayomtaka Enzo inabidi iactivate release clause yake.
£106MRelease clause yake ni bei gani?