Na pia sahv nasikia kuna tetesi za Newcastle kumhitaji jorginho this Jan transfer...hii pia inaweza kuchagiza hizo reportNgoja tusubir report kutoka kwa hawa Tier 1.
If ni kweli tukimpata huyu then twende pale Monchegladbach tumchukue Koudao Kone.
Tutakuwa tushatatua tatizo la mid, kilichobak ni kumpata Arsen Zakharyan,
Tutakuwa vizuri mpk hapo
System ikiwa sawa na inawafavour hawawez flop tho usajil nikama kamali vile.Hawa wachezaji ni wazuri sana
- Enzo Fernández
- Gvardiol
Tujifunze kwa historia, wanaweza wakanunuliwa kwa paundi mil 100, tuka splush mil 200 pa wakaja walatulia kama maji ya mtungi, yaani wakaflop. Tutaficha nyuzo zetu wapi
Wambebe hata kabla ya JanuaryNa pia sahv nasikia kuna tetesi za Newcastle kumhitaji jorginho this Jan transfer...hii pia inaweza kuchagiza hizo report
Alikuwa anaachia mpira haraka hiki kitu nimekipenda Ndio maana kukawa na flow nzuri ya kushambulia Hili ndio Mara nyingi anakuaga afanyi ndio maana sometimes anapokonywa mipira Sana. Sijawahi kuwa na tatizo na sterling kwenye suala la workrate yake anajitoa hata kama hayupo kwenye form nzuriJana Sterling alicheza vizuri sana sio kwa sababu katoa assists kwenye goli la Havertz bali pia nilimuona mbele na nyuma akikaba na ule umlenda jana sikuuona kabisa, utadhani sio Sterling tumjuaye
View attachment 2460934