Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tumefunga 2-0 ila bado timu yetu haichezi vizuri. Tumekosa na fasi nyingi pia hatuna viungo wanao zuia na kushikilia mpira, hi timu ilifungwa na Liverpool ma goli 9 .
 
Before hawajamtimua Scott Parker,

Baada ya kumfukuza Bournomouth wamebadilika kama unafatilia ligi
Sawa hata kama wamebadilika ila the blues hatujacheza vuzuri, timu haina connection nyuma, kati kati na mbele tunapoteza mipira hovyo tunafanya blind pass nyingi. Kocha aifanyie kazi kabla ya kukutana na city tarehe 5.
 
IMG-20221227-WA0006.jpg
 
1st half tumecheza vizuri, kuanzia dakika ya 1 mpk tunaenda half time tulikuwa tuko poa, tunamove ball kwa haraka, na tukicreate nafasi.

2nd half, dakika 10 za mwanzo tulicheza vizuri ila baada ya James kuumia na kutolewa hapo ndio ni kama siku yetu ikawa imeishia hapo.

Tunapokuwa na james na anapokuwa hayupo ni kama usiku na mchana.

Zacharia amecheza vizuri na kuna kitu amekionesha

Kuna mda Kepa wakat anarudishiwa mpira nikawa nahisi hapa angekuwa Mendy ashachoma.
 
Nyie ng'ombe kwa hili pirakande lenu msiombe mkakutana na mabingwa wa epl tutawapiga kama ngoma,
 
Hata wakati tunacheza vizuri, hata wakati tunabeba UEFA waliokuwa wanatubeba ni wing-backs
Viungo sio aggressive wala hawakai na mpira kabisa Jorginho anapoteza mipira. Denis anapoteza hovyo mipira. Hawajui kutengeneza nafasi ukiacha Mount ambaye leo kacheza vizuri. Wanaoexpose timu ni viungo
 
1st half tumecheza vizuri, kuanzia dakika ya 1 mpk tunaenda half time tulikuwa tuko poa, tunamove ball kwa haraka, na tukicreate nafasi.

2nd half, dakika 10 za mwanzo tulicheza vizuri ila baada ya James kuumia na kutolewa hapo ndio ni kama siku yetu ikawa imeishia hapo.

Tunapokuwa na james na anapokuwa hayupo ni kama usiku na mchana.

Zacharia amecheza vizuri na kuna kitu amekionesha

Kuna mda Kepa wakat anarudishiwa mpira nikawa nahisi hapa angekuwa Mendy ashachoma.
Zakaria kacheza vizuri hasa kwenye kucover mistakes za Jorginho na mabeki ila alikuwa akipoteza mipira
 
James inabidi atulie asiwe na shauku ya kurudi uwanjan haraka, na hata akipona Potter aangalie namna anayoweza kuwa anampa dakika 20-30na si kutoka kwenye majeruh na kuingia moja kwa moja kwenye XI
Kaka hyo inaitwa namna namna Potter hana mtu kma jemsi ndio maaana nanachezeshwa tu mkuuu yaaan kuna nyakati hata ww kwenye maisha kuna kitu kina kufika huna jinsi tu lazima ukifanye hata kama kita kuumiza kaka ndio hali inayomkuta Potter na Chelsea fans kwa ujumla
 
[emoji599]BREAKING: Chelsea have entered the race to sign Enzo Fernandez.

They have sent representatives to Lisbon in an effort to tie up a deal according to reports.

- Dave OCKOP



Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Ngoja tusubir report kutoka kwa hawa Tier 1.

If ni kweli tukimpata huyu then twende pale Monchegladbach tumchukue Koudao Kone.

Tutakuwa tushatatua tatizo la mid, kilichobak ni kumpata Arsen Zakharyan,

Tutakuwa vizuri mpk hapo
 
Kaka hyo inaitwa namna namna Potter hana mtu kma jemsi ndio maaana nanachezeshwa tu mkuuu yaaan kuna nyakati hata ww kwenye maisha kuna kitu kina kufika huna jinsi tu lazima ukifanye hata kama kita kuumiza kaka ndio hali inayomkuta Potter na Chelsea fans kwa ujumla
Me simlaum Potter, nahisi James mwenyewe alikuwa na shauku sana kurudi uwanjani, bila kuzingatia Injury aliyopata, ndio maana alikuwa yuko tayar hata kwenda World Cup.

Njia pekee ni kutafuta cover yake Malo Gusto wa lyon au Pedro Porro wa Sporting Lisbon wanafaa kabisa
 
Ngoja tusubir report kutoka kwa hawa Tier 1.

If ni kweli tukimpata huyu then twende pale Monchegladbach tumchukue Koudao Kone.

Tutakuwa tushatatua tatizo la mid, kilichobak ni kumpata Arsen Zakharyan,

Tutakuwa vizuri mpk hapo
Hakika katika watu uliowataja hapo tukiwapa wote hao kwakweli Potter atakuwa hana ujanja zaidi ya kufanya vzri tu mkuuu
 
Me simlaum Potter, nahisi James mwenyewe alikuwa na shauku sana kurudi uwanjani, bila kuzingatia Injury aliyopata, ndio maana alikuwa yuko tayar hata kwenda World Cup.

Njia pekee ni kutafuta cover yake Malo Gusto wa lyon au Pedro Porro wa Sporting Lisbon wanafaa kabisa
Anahitajika ashauriwe atulize wenga, acheze kwa akili zaidi na nguvu kidogo. Wachezaji wa timu pinzani wameshamshtukia kuwa yeye ndie nongwa pale Chelsea. Jana kila mchezaji akipata mpira anamtafuta James hasa Silva na wengine. Mashambulizi mengi yalikuwa yanapitia kwa James kwa sababu yeye ni mzuri wa kwenda mbele.

Alitakiwa James ashauriwa aanze na gia ndogo au Koacha awe anampa dakiak chache kwanza hadi azoee asije akawa kama Kante wa kukaa majeruhi miezi mitatu hadi minne
 
Kocha kakiri majeruhi ya James ni pale pale kwenye misuli ya goti, so tunarudi kule kule tulikotoka. Bila James tutashika mkia kama sio kushuka daraja. Na kumpata mbadala wa James tusidanganyane, ni ngumu sana
 
Chelsea ilikuwa inafanya vizuri hii timu ilipokuwa na wachezaji wengi kutoka Brazil
  1. Oscar (2012 – 2016)
  2. Willian (2013 – 2020)
  3. Alex (2004 – 2012)
  4. Filipe Luís (2014-15),
  5. Ramires (2010 – 2016)
  6. David Luiz (2011 – 2014 & 2016 – 2019)
Sasa tunaye Silva tu, wangekuwepo watatu hivi tungefika mbali sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom