Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Essien amepata nafasi ya kucheza kwa sababu dogo Marco Van Ginkel (#16) ameumia, na hatakuwepo msimu mzima huenda. Lakini hata hapo kwenye ukabaji wake wengi. Mechi ya leo David Luiz hatakuwepo, lakini kijana wa kazi Ramires "wonder boy" atakuwepo pale kati huenda akaanza na Mikel kama atakuwa kapona, maana Franck Lampard "super frank" aliumia mechi na Liverpool.

Na Bertrand Traore atacheza nafasi ya nani? Guarin je?
 
Bertrand Traore ni kijana mdogo, amesaini leo hii mkataba wa miaka 4 kuitumikia Chelsea, hata Wallace 'fullback' alisajiliwa mwezi wa 8, sasa yuko kwa mkopo. Marco Marin pia mchezaji wetu yuko kwa mkopo Sevilla CF -Spain, Oriol Romeu yuko kwa mkopo Valencia. Kusajiliwa hakumaanishi lazima ucheze kwenye timu ya kwanza au kwamba lazima uanze.

Inategemea na mahitaji ya timu kwa wakati huo! Nadhani nimekujibu mkuu Mourinho.
 
"I think Jose Mourinho likes me. He's sometimes provocative; he loves to play mind games," Hazard said.

"He launches things to motivate players in a positive way. What people don't know is that he's close to his players.

"He leaves me alone, lets me work and when he has something to say, he tells it to your face but always with a friendly pat on the back.

"He a top coach and a great personality."
- Eden Hazard


Mkuu! Huyo ndio ukweli! Mourinho ni Zaidi ya kocha! Ni Zaidi ya rafiki na ni baba pia!

Wachezaji karibu wengi humshirikisha mambo Yao binafsi ata ya familia!

Naungana na Eden Hazard Nawe pia Mkuu kwa Habari hiyo!
 
Ili mata Acheze, labda itabidi Eden Hazard awe anacheza mbele kabisa, yaani 'zero number 9' wakati huo Torres na Eto'o wako benchi, alafu mata anacheza nafasi ya Hazard...kama ilivyokuwa kwenye SuperCup vs Bayern Munichi.

Mata anaweza cheza ata wakiwepo Hazard na Willian! Ila atacheza Kati nyuma ya striker!
 
Ila naamini kwamba Mata atapata nafasi ya kucheza tu, ligi bado ndefu nafasi zipo nyingi kwa sababu gemu nyingi pia!
 
"We are not candidates. We are just candidates to win always the next match - and the next match is Hull City for the Premier League." - Jose Mourinho.

Maana yake ukishinda mechi zako zote utakuwa bingwa, badala ya kupiga mayowe, kocha anazingatia kushinda mechi zake ..mechi ya 3 mfululizo tunashinda hiyo. Sasa kazi imeanza..Super Chelsea.
 
Atakua akicheza nafasi hiyo Mata akipokezana na Oscar

Inaonekana Juan Mata hataki kupokezana namba na Oscar, kwa sababu jana alipotolewa hakuwa na furaha kabisa, kocha amesema kama Mata anataka kwenda anaweza kwnda 'mlango uko wazi'. Kwa sababu kwa sasa baadhi ya wachezaji wanafikiria kucheza ili wapate namba kwenye timu za taifa, kombe la Dunia. Lakini kocha anazingatia faida ya timu kwanza kuliko kumpa mtu acheze dakika 90 wakati hakuna matunda yoyote. Juan Mata ni mchezaji mzuri, lakini anadhani anaweza kuwa muhimu kuliko timu, alicheza dakika 53 na matokeo yalikuwa 0-0, lakini walipoingia Oscar na Willian kucheza dakika 37 tu zilizosalia matokeo yakawa 3-0. Unaona kwamba kocha anajua anachofanya, Chelsea kwanza..Mata baadaye.
 
"I want to keep him [Juan Mata]. I don't want him to go. That is my opinion, my wish, but my door is open, the club's door is open too so when a player wants to speak to us we are there waiting for them." - Jose Mourinho.
 
Inaonekana Juan Mata hataki kupokezana namba na Oscar, kwa sababu jana alipotolewa hakuwa na furaha kabisa, kocha amesema kama Mata anataka kwenda anaweza kwnda 'mlango uko wazi'. Kwa sababu kwa sasa baadhi ya wachezaji wanafikiria kucheza ili wapate namba kwenye timu za taifa, kombe la Dunia. Lakini kocha anazingatia faida ya timu kwanza kuliko kumpa mtu acheze dakika 90 wakati hakuna matunda yoyote. Juan Mata ni mchezaji mzuri, lakini anadhani anaweza kuwa muhimu kuliko timu, alicheza dakika 53 na matokeo yalikuwa 0-0, lakini walipoingia Oscar na Willian kucheza dakika 37 tu zilizosalia matokeo yakawa 3-0. Unaona kwamba kocha anajua anachofanya, Chelsea kwanza..Mata baadaye.


Ni ukweli ulio wazi kabisa! Na huo ndio msimamo halisi Wa Jose!
 
Ni ukweli ulio wazi kabisa! Na huo ndio msimamo halisi Wa Jose!

Kuna wadau kibao wa Chelsea kwenye mtandao wa Goal.com wanakubaliana na msimamo wa kocha, ni kweli Mata ni mchezaji bora wa Chelsea wa mwaka jana na mwaka juzi, lakini katika misimu miwili iliyopita kikosi chetu kilikuwa 'kidogo' kulinganisha na mwaka huu.

Pili, 'assists' za Mata mara nyingi huwa ni kona au mipira ya adhabu siyo mpira wa 'move'. Mfano gemu ya Spurs 1 - 1 Chelsea. Goli letu la kusawazisha lilifungwa na JT, ulikuwa mpira wa adhabu uliopigwa na Mata. Lakini cheki 'assist' za Oscar katika mechi zote, nyingi ni zile ambazo mpira uko kwenye 'move'. Mata ni mchezaji mzuri, lakini hawezi kumzidi Oscar kwa sasa, kila mtu ana 'muda' wake. Mata alikuwa mchezaji mzuri misimu miwili iliyopita..lakini kwa sasa Willian da Silva, Eden Hazard na Oscar Emboaba wanamzidi Mata.
 
Mfano mzuri ni wa D.Luiz.. Hakua chaguo la JM.. lakini shughuli anayoifanya Dogo,inamkuna vilivyo JM na anamuamini sasa.. Hivyo jamaa ana angalia Kazi yako Dimbani na sio sifa!!
 
..... and the oscar goes to Oscar-wild khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee



article-2532542-1A5FF0AD00000578-87_634x333.jpg


Airbourne - Chelsick midfielder Oscar was booked for trying (diving)
to win a penalty against Southampton
 
article-2532547-1A5FF73C00000578-309_634x369.jpg





article-2532547-1A6003C700000578-323_634x482.jpg

Punished: Martin Atkinson showed the Chelsick man
a yellow card for his antics in the area




article-2532547-1A620BAB00000578-581_636x382.jpg



 

Similar Discussions

Back
Top Bottom