Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,932
- 27,187
Huku kuchanganyikiwa sasa, makenge yanatokea wapi tena ndugu?Endelea kupiga ramli kenge wewe,tutafukua makaburi yenu muache ujinga
Sent using Jamii Forums mobile app
Huku kuchanganyikiwa sasa, makenge yanatokea wapi tena ndugu?Endelea kupiga ramli kenge wewe,tutafukua makaburi yenu muache ujinga
𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚! Chelsea and RB Leipzig have agreed on a €70m transfer for Christopher Nkunku this summer! 
Akifika tu anàumia miezi saba nje𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚! Chelsea and RB Leipzig have agreed on a €70m transfer for Christopher Nkunku this summer!
(Source: CBS Sports)View attachment 2423567
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo nakuunga mkono, magoli yote mawili jana ni uzembe wa hali ya juu wa Mendy, hata Manula hapo angecheza magoli yasingeingia. Goli la kwanza anadaka kama aanadaka chungwa alilotupiwa na mpenzi wake. Goli la p[ili anapangua mpira kwa kurudisha kwa wachezaji. Na kwa umri huo wake simuoni Mendy akiimarika zaidi ya hapo. Mkataba wake ukiisha asepe tu Potter kwa display ya jana sioni akimtumia tenaUlitegemea Senegal Washinde Mendy Akiwa Goli Kipa Ukiskia Masai Kala Mtego Ndoo HiiView attachment 2423475
Kwa kocha au timu inayohitaji ku possess Mpira Mendy hafai,Hapo nakuunga mkono, magoli yote mawili jana ni uzembe wa hali ya juu wa Mendy, hata Manula hapo angecheza magoli yasingeingia. Goli la kwanza anadaka kama aanadaka chungwa alilotupiwa na mpenzi wake. Goli la p[ili anapangua mpira kwa kurudisha kwa wachezaji. Na kwa umri huo wake simuoni Mendy akiimarika zaidi ya hapo. Mkataba wake ukiisha asepe tu Potter kwa display ya jana sioni akimtumia tena
Ukitaka kumuelewesha kenge yoyote humu ndani unapaswa umzibue kwanza makofi mpaka masikio yatoke damu.Wewe kukuelewesha Ni kupoteza muda
Hivi nyinyi mashabiki wa AsaniWali hamuwezi kuingia kwenye majukwaa ya wanaume mkachangia mada bila ya matusi?Unajitia kidole halafu unanusa
Tuliwaambia humu , ushindi wenu utakuwa 1-0,1-1,2-1,0-0, au kuchezea vipigo
Now hata Newcastle hamumuwezi,
Ila kutwa kupiga ramli Kuhusu Arsenal
Tutafukua makaburi yenu humu ya unafiki na ushirikina
Mara oho mtabeba ubingwa,Sasa hivi mkikaa vibaya mnapekekwa nafasi za 12
Na ukitaka kuelimisha mainzi wanaovamia jukwaa ni kupiga rungu kwanzaUkitaka kumuelewesha kenge yoyote humu ndani unapaswa umzibue kwanza makofi mpaka masikio yatoke damu.
"Kusikia kwa Kenge ni mpaka atoke damu masikioni"
Wahenga waliotunga haka kamsemo sio wapumbavu wanazijua vizuri hivi kenge za darajani.
Mendy amesemwa sanaUwepo wa Mendy golini na Kukosekana kwa Mane ndio iliyowagharimu jana Senegal
Walicheza vizuri nyuma katikati na mbele walikosa umakini wa kumalizia
Nyuma makosa mawili ya Mendy ikawagharimu kimoja
Hapo nakuunga mkono, magoli yote mawili jana ni uzembe wa hali ya juu wa Mendy, hata Manula hapo angecheza magoli yasingeingia. Goli la kwanza anadaka kama aanadaka chungwa alilotupiwa na mpenzi wake. Goli la p[ili anapangua mpira kwa kurudisha kwa wachezaji. Na kwa umri huo wake simuoni Mendy akiimarika zaidi ya hapo. Mkataba wake ukiisha asepe tu Potter kwa display ya jana sioni akimtumia tena





Depal 
Kabisa Mkuu.Uwepo wa Mendy golini na Kukosekana kwa Mane ndio iliyowagharimu jana Senegal
Walicheza vizuri nyuma katikati na mbele walikosa umakini wa kumalizia
Nyuma makosa mawili ya Mendy ikawagharimu kimoja