Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

90+7'

Ungekuwa bongo maneno yangekuwa mengi sana..Wacha tuone Chelsea watachomoa huu mkuki!
 
Kutoka sare kwenye UEFA champions league ndo ilikuwa tiketi yake ya Thomas Tuchel kufurushwa

Sasa kaja huyu wala hakuna cha maana anafanya huyu Kocha.

Aubameyang na Havertz anawaanzisha benchi kwenye game ngumu kama hii..!
Ilkuwaje ukashabikia chelsea au umazaliwa mwishoni mwa 99
 
Ilkuwaje ukashabikia chelsea au umazaliwa mwishoni mwa 99
Wapi nimesema nashabikia Chelsea?

Hata Man City kuna ambao hawakupenda kwa lengo tu Arsenal, je wote ni City? Jenga heshima ya nidhamu..!
 
Leo hii watu wanaanza mkumbuka Tuchel, Watu walikuwa wanamponda sana humu ndani,

Tuliokuwa tunamtetea tukaonekana tunamahaba, acha tuisome namba

Cha kushukuru tunaenda mapumziko ya world cup tofauti na hivyo tungetafutana humu
Bado Huyu GP niko naye bega kwa bega maana tatizo ni wachezaji ila Kocha yuko vizuri sana tu.

Tuendelee kutulia wakati wa hatari, na hapa ndipo kipimo cha mashabiki maandazi wanapopatikana...
 
Cheltako

20221111_140550.jpg
 
Nyie mChelemweusi mpira umewashinda mnaanza kurusha ngumi eti mnawazuia Newcastle wasishangilie ushindi kwenye uwanja wao hivi mnaakili kweli?
Ushindi wa mchongo ule aliekokota mpira toka kushoto mwa Chelsea alikuwa offside lakini si sababu Chelsea washindwe kuchomoa goli 1 hata kama New Castle alibebwa
 
Hawa mafala wameweka mgomo na matokeo yatakuwa haya haya mpaka huyu kichwa maji pooter afukuzwe , hii timu inahitaji makocha strict na tough kuinforce discipline , machezaji yanacheza kama yamet0mbw@ ,mxieew
 
Bado Huyu GP niko naye bega kwa bega maana tatizo ni wachezaji ila Kocha yuko vizuri sana tu.

Tuendelee kutulia wakati wa hatari, na hapa ndipo kipimo cha mashabiki maandazi wanapopatikana...
Mkuu me huwa niko nakocha yoyote yule atakaekuwepo,,

Kocha hata akiwa Mgunda bado nitamsupport, huwa naamini katika swala la mda,

Naiman hizi siku 28 zijazo Potter ataweza implement Mbinu zake na idea yake,

Mda aliopewa tim ulikuwa ni wakat mbaya sana based na ratiba iliyokuwepo, every 2-3 days uko na game inakuwa ngumu sana kuweka idea zako na mbinu zako

Ila sasa kwa haya mapumziko ya world cup ndio wakat sahihi sasa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom