Bobbyray
JF-Expert Member
- Dec 3, 2015
- 1,378
- 1,782
Jitoe kabisa maana ni 343 ndo formation ya leoNaomba iwe line up ya 433 kwa sababu Koulibally sio mzuri kwenye back line ya 3. Na kiama ni 343 Potter ana kichwa kigumu. Kwa staili hii nami nitajitoa kumuunga mkono. Wachezaji tulionao hawafai kwa 343!!!!,



