Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Timu imejaa wazee hii, kesho tutawakimbiza ,ulimi nje TU

Kesho utashuhudia watu wakihema Kama mambwa

Maana martinel na saka plus Jesus wanavyopenda Sifa

Wote hao Average age Yao Ni 23 tu, Sasa beki za Chelsea average age Ni 35
Unatutishia na Huyo kijana Jesus anayeenda mechi ya 9 hii with no goal
 
Frank Lampard akimuongelea Ngolo Kante alisema

"Kante aliniambia baada ya dakika 105, mapumziko ya muda wa nyongeza.
Miguu yangu imekufa, miguu yangu imekwisha. Halafu baadaye nikamuona akikimbia mita 50 kwenda kunyang'anya mpira"

View attachment 2408209
Tukieka pembeni utani wa soka

Hiki chuma nakikubali sana
Huwa anauwezo wa kuleta balance kwenye timu

France anachukua kombe la dunia, kante aliwafanyia kazi safi sana pale dimbani
Pogba akawa ana shine tu kila game
Final wanawapiga Croatia kiulaini kabisa

Hakina mnapigo kubwa sana, majirani

Ilibidi muandae replacement yake mapema sana

City walimuandaa replacement ya fernandinho ambae ni rodri mapema sana

Kovasic na joginho kwa pamoja hawawezi kukupa kitu alichokua anatoa mnyama kante
Hazard alikua anasema "kante is everywhere"
 
Tukieka pembeni utani wa soka

Hiki chuma nakikubali sana
Huwa anauwezo wa kuleta balance kwenye timu

France anachukua kombe la dunia, kante aliwafanyia kazi safi sana pale dimbani
Pogba akawa ana shine tu kila game
Final wanawapiga Croatia kiulaini kabisa

Hakina mnapigo kubwa sana, majirani

Ilibidi muandae replacement yake mapema sana

City walimuandaa replacement ya fernandinho ambae ni rodri mapema sana

Kovasic na joginho kwa pamoja hawawezi kukupa kitu alichokua anatoa mnyama kante
Hazard alikua anasema "kante is everywhere"
Hapa umeongea vizuri Sana
 
Nyie cheltako nawategemea mnipigie wale watoto arsewali wanakelele sana pigeni hata kimoko tu.
 
Sure chief.

Tulitakiwa tufanye replacement ya Kante baada ya ile fainali ya BAKU.

Baada ya ile fainali Kante hajawa full fit tena zaidi ya kucheza na maumivu.

Mistake aliyofanya Marina ni kwenda kumsajili Saul kwa mkopo badala ya kusajili Mashine replacement ya Kante.

Hiki Kikosi chetu kingekuwa na wachezaji watatu tuu mmoja aina ya Kante, mwingine aina ya Fabrigas na mwingine aina ya Hazard na vilaza wengine waendelee kuwepo tungefanya vizuri sana

1 KANTE = 100 Jorgnho + 20 Kovacic
100%

Hazard katusumbua sana yule mbwa

Fabrigas aliufanya mpira uwe mchezo rahisi sana
Atakama haujui kufunga ukicheza na fabregas utajua tu
Muhuni anapiga pasi za upendo balaa sana
 
Kikosi
20221106_140242.jpg
 
Tumefungwa jaman .huko mbele sterling ,havert,auba wote hawakabi.tutapigiwa mipasi hadi aibu.
Nitashangaaa sana Chelsea akifungwa na Arsenal wakati Chelsea alimfunga Ac Milan nje ndani Tena na Clean sheet
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom