John dillinger
JF-Expert Member
- Jun 15, 2020
- 2,537
- 3,039
Unatutishia na Huyo kijana Jesus anayeenda mechi ya 9 hii with no goalTimu imejaa wazee hii, kesho tutawakimbiza ,ulimi nje TU
Kesho utashuhudia watu wakihema Kama mambwa
Maana martinel na saka plus Jesus wanavyopenda Sifa
Wote hao Average age Yao Ni 23 tu, Sasa beki za Chelsea average age Ni 35![]()




