Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nitashangaa kama Liverpool watashindwa kusawazisha goli...Mourihno kaharibu timu kwa Sub ya Lampard
 
Leo the blues tumelichinja jogoo na kugawana vipapatio vyake. Chezea Chelsea wewe!
 
1st half mmepiga mpira mkubwa sanaaaaa....shkamoo chelsea

Marhabya! Huyo ni baba Mourinho! Mpira mkubwa kale katimu kakasukumwa nyuma vibaya sn! Leo sijui kalitembea peke yake?! Maana kauli mbiu Yao ile ya You will never walk alone. Leo majanga!
 
Marhabya! Huyo ni baba Mourinho! Mpira mkubwa kale katimu kakasukumwa nyuma vibaya sn! Leo sijui kalitembea peke yake?! Maana kauli mbiu Yao ile ya You will never walk alone. Leo majanga!

Mmetisha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom