Ni kweli mkuu, David Luiz ni mchezaji mzuri ila anachoka mapema, na ukabaji wake pia hunishangaza na mimi, yeye na Ivanovic huwa wazuri ila upungufu wao ni wepesi wa kumgeuzia mgongo mshambuliaji. Hasa wanapokutana na mtu msumbufu. Luiz akicheza kati au pembeni kama alivyofanya ile gemu vs Norwich madhara yake yanakuwa machache kuliko akicheza kati alaf awe kaamka vibaya..daah sijasahau alichotufanyia siku ile Chelsea 1 - Athlecito Madrid 4. Hata hivyo Luiz ana uzuri wake, anajua kuhamasisha wenzake kama tu 'mzee' Eto'o akifunga uwanja mzima unalipuka ..maana jamaa kwa vituko kiboko.
Chezeni mpira mnalalamikia marefa ili iweje...michezaji imezeeka mpaka ime expire bado mnaota kuchukua kombe..kanyweni viroba kule..
![]()
na burungutu alilopewa hapa chini .... ...
![]()
Chezea mafioso weye .... ...... ...
imekula kwenu khe khe kheeeeeeeeeeKheeeeeeeeeeeeeeeeeeee
khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeee
Hongereni wakuu kwa kusajili mchezaji wa akiba .... ..... khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Aminia mkuu,Mkuu Ntuzu, tofauti kati ya Azp na Cole ni 'wepesi', dogo ni mwepesi sana nafikiri kwa mpira wa sasa full back mzuri anapaswa kuwa na umri usiozidi miaka 30. Lakini hata hivyo namheshimu sana Ashley Cole.
Mwanangu Hali ni Ngumu sn! Na huu muda timu zote Hasa zile kubwa hazitokubali kufungwa! Yani sasaiv kila game ni muhimu mpk waachane kwa point nyingi kidogo!
Kazi sn Mkuu! Ila ndio ligi imefika patamu sn
yap ligi ndio imefika patamu kwelikweli ngoja Tusubiri New Year tuone mambo yatakuwaje?
Mkuu Ntuzu, unakumbuka mjadala wetu wa wiki iliyopita?
Niliandika hapa hoja kadha wa kadha nikimtetea Mourinho, baadhi ya wadau leo siwaoni sijui wako wapi akina Chebi na wenzake! Ukweli ni kwamba..tutachukua pointi za kutosha msimu huu. Mourinho "One of Us"
Mkuu watu hawamjui Mourinho na ndio maana huweza kuongea wawezavyo! Mourinho ndio alieleta mapinduzi makubwa ya soccer ulaya na duniani ya kila kitu!
Kwangu Mimi Mourinho ni mtu asielezeka! Ni mtu anaeijua Falsafa ya mpira ya Hali ya juu!
Makocha wakubwa na wadogo wanamjua Huyu vizuri sn!
Huyu mtu unaweza ukashinda kutwa nzima unamuelezea jinsi alivyo na usimmalize!
Ukitaka kujua Mourinho ni nani muulize Abramovic na wachezaji wote ktk timu alizopita kufundisha watakuambia kua Huyu ni kocha hatari!
Ktk karne ya 20 sijawahi kuona au kusikia Km kuna kocha Km Huyu! Na pia Hii karne ya 21 sizani Km kutakuja kua na kocha Mwenye Falsafa ya mpira ya Hali ya juu na Kali na Ngumu Km ya Mourinho!
Football managers are paid to win trophies for their clubs. In ten years of club management, Mourinho has won 16 major trophies; if you add 3 super cups and a community shield that make it 20 trophies. In life we have the winners like Jose and the others which include the likes of Dithering Dave.
Kheri ya mwaka mpya wanamichezo wote jamani. Kila lilo kheri kwa mwaka mpya wa 2014, Tulipokwaruzana Tusameheane jaman.
HAPPY NEW YEAR 2014.
[/QUOTE]NINI HATIMA YA KIUNGO WETU KIPENZI JUAN MATA! MANA NAONA KAMA MFUMO UNAMUWEKA KANDO, KUNA TETESI PIA CHELSEA WANAMALIZIA DILI LA KUMSAJILI FREDY GUALIN KUTOKA INTER. NADHAN MUDA WA ESSIEN KUONDOKA UMEFIKA PAMOJA NA BA,OR=#0000ff]
[/COLOR]![]()
![]()
The Chelsea players celebrate after the win
[/CENTER]