juan david
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 3,952
- 5,438
Tutakuja kubaliana, shida huwa sio kocha bali ni wachezaj wetu.
Mpk tutakapokubali hapo na tukatatua matatizo tuliyonayo, ndio tutaweza anza kupigania makombe
Kwa sasa tuanze upyaaa tu, kwa wachezaj tulionao wakishatanguliwa tu hawawez kuequalize, au kufanya comeback ujue tunashida.
Tuna shida ya creativity,
Mpk tutakapokubali hapo na tukatatua matatizo tuliyonayo, ndio tutaweza anza kupigania makombe
Kwa sasa tuanze upyaaa tu, kwa wachezaj tulionao wakishatanguliwa tu hawawez kuequalize, au kufanya comeback ujue tunashida.
Tuna shida ya creativity,


