City wanaviungo wapikaji, n viungo wao wanaweza control game yoyote
Uwepo wa bernardo n gundogan + kdb, hawa wote wanauwezo wa kutengeneza nafasi bado hujawaongeza Foden+Mahrez+Grealish
Sisi sasa viungo wetu hawana uwezo wengi ni spana mkononi,
Bila kuwa na kiungo mbunifu ambae anaweza tengeneza nafasi tutaendelea kuhangaika,.
Yani ukiangalia tim yetu james akiwepo na asipokuwepo ni usiku na mchana,
Tuko matatizon kama mchezaj wetu bora n mtengenezaj wa nafasi ni james
Yani Usajil wa viungo now ni wa muhim kuliko shm yoyote ile, bilq hivyo tutaendelea kuhangaika
Kante,Kovacic,Loftus Cheek hawa wote ni spana mkononi mdq wowote wanarudi wodin.