We umewahi kufundisha?Chief ulishawahi hata kucoach timu ya kanisa/msikiti, shule au ya mtaa?
We umewahi kufundisha?Chief ulishawahi hata kucoach timu ya kanisa/msikiti, shule au ya mtaa?
Jorginho hata acheze vizuri hana consistency. Siku akituuza ndio utamjua Mr. JoUkiachana na penalty aliyofunga Jorginho bado leo kuna mtu ana mashaka na jinsi alivyocheza leo? Bado kuna mtu anamlaumu kwa namna alivyocheza?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe ndo maana hakuanza...lawama za Makocha WA mchongo wkt anaanzia sub zilikuwa nyingiGraham Potter says Mateo Kovacic changed the game for Chelsea and is playing through a knee injury.

Ananikumbusha jamaa mmoja anaitwa Junior lokosaNaitwa Dennis Zakaria nimesajiliwa na Chelsea kuja kula mshahara bure.
View attachment 2394989
Ukiachana na penalty aliyofunga Jorginho bado leo kuna mtu ana mashaka na jinsi alivyocheza leo? Bado kuna mtu anamlaumu kwa namna alivyocheza?
Sent using Jamii Forums mobile app
Jog ndio anafanya mipira isifike kwa mastrikers. hovyo kbs. Akipata mpira badala y kugeukia golini kw wapinzan yeye anageukia golini kwake.Ukiachana na penalty aliyofunga Jorginho bado leo kuna mtu ana mashaka na jinsi alivyocheza leo? Bado kuna mtu anamlaumu kwa namna alivyocheza?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu leo amecheza vizuri sana, tutegemee consistency hii iendeleeJorginho hata acheze vizuri hana consistency. Siku akituuza ndio utamjua Mr. Jo
Halafu ujue huyo hajapewa bado mkataba
Hivi mnayoyasema kina Graham Potter hawayaoni. Mbona Jog yupo tu.Jog ndio anafanya mipira isifike kwa mastrikers. hovyo kbs. Akipata mpira badala y kugeukia golini kw wapinzan yeye anageukia golini kwake.
Ulikufa chuma 3 na hao nyumbu tuliza makalio.Mnacheza takataka
Goal lenyewe la penalty ndio nini.? Kwani umeambiwa ule ni mdundiko mpaka ucheze unashikashika watu?Maskini Maskini very rubbish mmescore goal lenyewe la penalty still mnashindwa kulilinda?
kafie mbeleNov 2 msiingize team yenu uwanjani nawapa tahadhari mtadhalilika
Anazingua huyo... Namfananishaga na shabiki wa Liver.Yani hata mashabiki hamjuani mko tim moja![]()
Humu ndani kuna watu ni wapuuzi wallah.,Kumbe ndo maana hakuanza...lawama za Makocha WA mchongo wkt anaanzia sub zilikuwa nyingi![]()
Kwa Jo hapana. Mimi composure yake siipendi kabisa. Anatucheleweshea ushindi. Mchezaji asiye na mentality ya kushambulia na hata kukaba hawezi. Pasi za nyuma tu ndio zimemkaa. Kupoteza mipira hovyo kwenye eneo la hatari! Katika safari ya kuijenga timu, Jorginho tusimuweke, hatatufaa kule mbele. Sasa anaweza kutufaa kwa sababu hatuna mbadalaMkuu leo amecheza vizuri sana, tutegemee consistency hii iendelee
Sent using Jamii Forums mobile app
dah bora umejisemea ukweliUle upande wa Azplicueta siku akikutana na Martinel, tuwe na bahat tu otherwise tutakuwa tupe matatizone mda wote
Hayo majibu ni ya konda, wewe ulifaa kuwa konda wa daladala, sijui huku unatafuta niniNenda wewe ukapokee iyo mipira