Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,468
- 14,621
Labda Messi wa buzaBlues wenzangu hivi habari za mess ni kweli??
Labda Messi wa buzaBlues wenzangu hivi habari za mess ni kweli??
Miaka 10 ni michache sana kumpata Hazardous Hazard.THE BLUES itachukua zaidi ya miaka 10 kupata Hazard mwingine. View attachment 2366269
Ni za kweli ila Ni Ramadhan Singano MessiBlues wenzangu hivi habari za mess ni kweli??
Timu haina kocha wakuorganize vile vipaji, kocha had leo anakomaa na back 3 ,hataki kubadilika ,anawaacha Creative MD Kama maddson ,analeta mabisho Kama Grealish,Timu ya Taifa la England (The Three Lions) lashushwa daraja Uefa National League kutoka Leagu A kwenda League B
Wachezaji supperstar lakini wanacheza kilegelege sana
Huyo boehly na potter wanataka waigeuze Chelsea chuo Cha mpira wanakuza vijana Kisha wanauza kwa bei kubwa kama wanavyofanya Ajax, Dortmund,benfica hii timu haitakuwa ya kuchukua makombe makubwa TenaHatima ya POTTER Chelsea iko kwenye mabano
Ukweli ni huu, Boehly kampa Potter mkataba mrefu na mazingira mazuri ya kufundisha Chelsea
Hata tusipofuzu top 4 ataendelea kuwa kocha
Hata asipobeba vikombe ataendelea kuwa kocha
Tatizo la mpira ni kwamba akili huwa haina mawasiliano na hisia
Akili inasema hivi na hisia inasema vile
Ukweli ni kwamba Chelsea isipokuwa na matokeo mazuri, ikafungwa kizembe zembe, maisha ya Potter hayatakuwa salama Chelsea
Boehly ni kiongozi asiye na uvumilivu kuliko hata Abramovich
Hata Potter akifanya vizuri kwa maana ya kubakiza timu top 4 msimu huu, demand kutoka kwa wamiliki itapanda msimu ujao. Asipobeba kikombe kikub wa kwenye msimu wake wa pili hataingia msimu wa tatu, atafukuzwa
Na mimi kwa maoni yangu, mazingira legelege aliyopewa Potter kwenye mkataba unaweza kumfanya abweteke na hivyo akasahahu kuwa Chelsea inatakiwa ibebe vikombe
Taja timu yako ya kimandazi sio kuja kukashifu hukuHili litimu ni kama lipuli
Kuna watu humu wanamuita Kai takataka tukimtetea tunaambiwa hatujui tunatetea eti kisa kafunga goli la ushindi UEFA. Wakati wengine tumemfahamu Kai misimu miwili kabla hajasajiliwa ChelseaHuyu HARVETZ wa timu ya taifa na THE BLUES ni wachezaji wawili tofauti.
Tofauti inatokana na aina ya wachezaji anaocheza nao kati ya hivi vikosi viwili.
Ujerumani kuna mafundi wanaomzunguka Kai mfano Gundogan, kimmich, Sane, Gnabry, Muller
Pale THE BLUES wachezaji wanaomzunguka hawana uwezo na maamuzi ya kiufundi, hawapigi pass zinazoeleweka, hawaurahisishi mpira bali wanalazimisha vitu ambavyo havipo.
Kai ni mbunifu sana, ana umri mdogo lakini ana akili kubwa ya mpira.
Kama kawaida THE BLUES tutaishia kumuuza Kai na kuleta matakataka, badala ya kusajili mafundi wengi zaidi.