Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mendy kaparuzwa mikono na hapo hapo kapigwa kifuani, hawa watangazaji mandazi wanakazana hakupigwa, kwa mara ya kwanza VAR imetenda haki akiwemo MIchael Owen
 
Vieiara oyeeeee 🤣🤣🤣🤣🤣🤸🏻‍♀️🤸🏻‍♀️🤸🏻‍♀️
 
Afadhali points 3 zimechukuliwa nyumbani 😂😂😂😂🤣🤸🏻‍♀️🤸🏻‍♀️🤸🏻‍♀️
 
Ivan Toney hatrick, goli 3 dhidi ya Leeds, tungemchukua huyu mwamba, andetusaidia sana na yuko 26 tu
 
Kwa jinsi tulivyocheza first half, Pale hata Auba atoboi.

Next ni dhid ya Dynamo Zagreb.
Tatizo la Chelsea Chilwell ametuonyesha wazi, hakuna dynamicity wala kudhubutu, mipasi ya sideways, backward passes hadi dk zinapotea hadi mpinzani wako anakusoma udhaifu wako. Chelsea wanaremba mpira hadi ikafika 70% possesion halafu Westham wanatusanifu tu. Kona hadi kumi tunasanifiwa tu, wao wamepata moja wakaforce hadi ya tatu ikaleta goli. TT abadili hili, sio wachezaji ndio wa kubadilisha, kocha atoe maagizo, tucheze kandanda la kuthubutu, Auba asipopelekewa mipira hatafunga
 
Tatizo la Chelsea Chilwell ametuonyesha wazi, hakuna dynamicity wala kudhubutu, miapsi ya sideways, back passes hadi dk zinapotea hadi mpinzani wako anakusoma udhaifu wako. Chelsea wanaremba mpira hadi ikafika 70% possesion halafu Westham wanatusanifu tu. Kona hadi kumi tunasanifiwa tu, wao wamepata moja wakaforce hadi ya tatu ikaleta goli. TT abadili hili, sio wachezaji ndio wa kubadilisha, kopcha atoe maagizo, tucheze kandanda la kuthubutu, Auba asipopelekewa mipira hatafunga
Last season tulikuwa vizuri kwenye set pieces ila msim huu tunapata kona nyingi ila tunashindwa kutumia.

Broja aendelee kupata nafasi, kwa dakika alizocheza kuna kitu anaoffer,
 
FB_IMG_1662223235270.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom