juan david
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 3,952
- 5,438
Nasema tim yetu haina watu wakuamua matokeo,
City game ya 2 mfululizo anatoka nyuma , leo kashinda,
Quality inaamua matokeo.
Tutaendelea hapa kuangaika na kocha ila hatuna watu wa kuamua matokeo. Na ndio shida yetu kubwa iko hapo tunashindwa kumaliza game
City game ya 2 mfululizo anatoka nyuma , leo kashinda,
Quality inaamua matokeo.
Tutaendelea hapa kuangaika na kocha ila hatuna watu wa kuamua matokeo. Na ndio shida yetu kubwa iko hapo tunashindwa kumaliza game


