Kanywe dawaHii Ndo Chelsea na Hii Game tunashinda Japo tupo Pungufu
Unapo toa comment kwenye uzi huu hakikisha unashabika team inayocheza champions league ,kwenye uzi huu hatutambui TEAM Trash aka TAKATAKAni mwendo wa kula umeme tu.
Kabla ya mechi niliwatahadharisha kabisa, hizi kenge Epl zinataka kuigeuza kua ni ndondo cup.
Afadhali wewe akili zimeanza kukurudia baada ya kutoweka kwa muda.🤣Kwa hii form ya Man city, Liverpool na Chelsea ya mwaka huu Arsenal atangazwe bingwa tu
Wamepataje goal Hawa kengeeni mwendo wa kula umeme tu.
Kabla ya mechi niliwatahadharisha kabisa, hizi kenge Epl zinataka kuigeuza kua ni ndondo cup.
Si apigwe red mkuu tumpunguzie adhabuKai ni wakupiga shaba


Karibu nikunyweshe dawa MkuuKanywe dawa
2_1
Arse88 hat nafas ya sita hamalizi, tupo hapa.Kwa hii form ya Man city, Liverpool na Chelsea ya mwaka huu Arsenal atangazwe bingwa tu
Shinda game zako kwanza kabla hujaleta maneno kwa timu kubwa kama arsenal.Arse88 hat nafas ya sita hamalizi, tupo hapa.
Mara ya mwisho mlivyokula umeme mlishinda ngapi?Nyie Chelshit mmeona wenzenu tunavyokinukisha???
Siyo nyie tubao tuwili tu akina Ollachuga.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app