Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Bila CF mtamfata man u mkiani

Matokeo yatakuwa ya kusubiria penalty za jojinho

Wafunge mabeki

Au papatu papatu 1-0,1-1,0-1
 
Tuchel anafundisha tim ya ushindi ila wachezaj hasa hasa kule mbele ndio wanaomuangusha

Game tulikuwa tunaimaliza 1st half hata 2nd half tulikuwa tunaimaliza.

Havertz leo kqcheza game ya kiume awe anacheza game zote hivi hiv sio big games tu, shida yake ni umaliziaji tu

RLC leo ndio ilikuwa funguo spurs walikuwa hawamuelei

Jorginho kazingua kwenge goal la 1 la spurs, kwa nini usiclear ball,then unaleta ujinga katika eneo lako la hatari

Leo tumecheza game nzuri sana, 343/4222 hybrid
 
Mkuu issue ya kuscore ni shida ila kwenye game ambazo huwa yuko Anthony Tylor + Mike dean huwa tunaonewa sana kwenye maamuzi.

Yani sababu ipi iliyofanya ile foul ya Bentacur to havertz isiwe foul

How about foul ya Romero to Cucurella na VAR inaangalia kabisa unasema sio foul how, unahis pale angekuwa mcheza wetu amefanya vile unahis asingepewa red card
hiyo sio sababu za kushindwa kuscore pale mbele wanapiga pas ndani ya box zisizo na faida
 
Tuchel leo katupa Vibe la Mourinho, ukiskia hata mahujiano yake baada ya game, kaamua kama ni soo iwe soo kwa refa na var kwa ujumla.

Pia akasema sio mashabiki tu ambao hawana iman na Anthony Tylor bali hata wachezaj wake hawana imani nae, pia akasem ye atakosa game ijayo dhid ya leeds ila cha ajabu mwamuzi huyo huyo bado atapewa game achezeshe wiki ijayo.
 
Huo ndio ugonjwa wetu mount kai hata sterling sio clinical

Strikee mzuri hakuachi
Zile nafasi za Kai na Sterling, Broja hawezi kukosa zote. Wamuamini.
Wakiendelea kumuingiza dakika hizo 3 za mwisho, atalazimisha kuondoka.
 
Zile nafasi za Kai na Sterling, Broja hawezi kukosa zote. Wamuamini.
Wakiendelea kumuingiza dakika hizo 3 za mwisho, atalazimisha kuondoka.
Tulia ww acha kuassume, una uhakika gani broja angekua ata kwny position ya kupata izi chance za kufunga. Uyo dogo km ana deserve kuanza inabd aonyeshe kwny mechi atakazopewa. Na atacheza mechi nyng tu msimu huu ni mrefu sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom