Kwani hizo ni pesa za madafu au sikukuelewaUngekua unazingatia na vitu kama inflation mzee wangu
Kuondoka kwa Timo ilipaswa iwe hivyo kwa sababu kuu mbiliKiukweli Chelsea ya Todd siielewi kabisa... ivi unamuuzaje Timo kwa bei ya mbuzi ivyoo? Bora wangebadilishana kupata beki au umuuze Ziyech sio Timo, Lukaku nae kaondoka iv wanafikiria nn hawa? Bora uwe na replacement yake..et huna.. mabeki wameondoka bure wanashindwa kuwaongezea hela sasa wanahaha tu sokoni..mm kwa timo naamini bado alihitaji muda hata Lukaku maadam hatukutoka top four sioni 7bu ya hii panic za hawa mabwana
Media nyingi zimeuza taarifa za hili saga, uongo uliouzunguka hili suala la De Jong umewafanya watu hata wasitamani kusoma tena nikiwepo mimi. Nasubiri tu siku nikisikia yupo London anapimwa mkojo ndipo nitakapoamini[emoji599][emoji599]| FC Barcelona & Chelsea are very close to reaching an agreement for Frenkie De Jong's transfer for more than €80M. sport
Hao makocha wamesoma na wanajua kufanya siasa za mpiraMsomeni TT alafu muwe na adabu mnapokuja kule jukwaani la wanaume THE GUNNERS
Thomas Tuchel:
"When I said that Arsenal seemed more ready [after our pre-season friendly], I speak with my words – they were more ready. They played in pre-season with more or less the same starting 11."
"They had one or two signings to complete their group and they had a clear idea of what they want. From there, they had a team to build and of course also an atmosphere and attitude."
"We suffered against them but there were reasons we were not at this point, which we have to accept."
Oyaa wazee wa Chell she jorginho VP sasa tunamuuza au?tufikie muafaka basi
RLC sio takatakata ni mchezaji nzuri ambaye TT anatakiwa amuamini japo anachezeshwa number sio yake lakini anakichafua angalia game dhidi ya Madrid kule spain na mechi nyingi tu kacheza vizuriMatakataka OUT
✔️Ameondoka
- Romelu Lukaku to Inter ✔️
- Timo Werner to Leipzig✔️
- Marcos Alonso to Barca❓
- Ross Barkley on sale hakuna timu inamtaka, hata Everton wamemkataa ❗
- Jorginho anakumbatiwa na TT❗
- Christian Pulisic amedai atapambania nafasi ❗
- Reuben Loftas Cheek on Swap dela for Fofana❗ kagoma kuondoka Chelsea
- Malang Sarr to Monaco ✔️
- Hakim Ziyech to Man U or AC Milan❓
- Keppa anabaki, dili la Napoli limefeli, Napoli wanamtaka Keyla Navas❓
- Michy Batshuayi to Everton❓
- Ampadu to Empoli❓
- Babarahma on sale❓
- Billy Gilmour on loan to Everton❓
- Emerson to Lazio❓
- Kenedy on sale❓
- Xavier Mbuyamba on sale❓
- Matt Miazga to FC Cincinnati✔️
❓ Ataondoka
❗ Haijulikani
Ni takataka uwezo wake cyo wa chelsea akacheze Ipswich na fulham huko ndo level ya uwezo wake hastahili hata kidogo kuvaa jezi ya chelseaRLC sio takatakata ni mchezaji nzuri ambaye TT anatakiwa amuamini japo anachezeshwa number sio yake lakini anakichafua angalia game dhidi ya Madrid kule spain na mechi nyingi tu kacheza vizuri
Kwa kikosi tulichonacho sasa RLC ni mzuri. je atakidhi vigezo vya viungo wanaotakiwa na Chelsea? Je atakuwa na consistency ya kumfanya afikie viwango vya ubora unaotakiwa au ndio mechi hii anacheza vizuri, mechi inayofuata anapotea?RLC sio takatakata ni mchezaji nzuri ambaye TT anatakiwa amuamini japo anachezeshwa number sio yake lakini anakichafua angalia game dhidi ya Madrid kule spain na mechi nyingi tu kacheza vizuri
Waliikimbia Chelsea wakindani wanaenda paradisoMauzauza ya BarcaView attachment 2320327
Analysis nzuri sana. Sisi kumiliki mpira ndio tunaona dili. Ball possession 70% halafu unatoa draw ya 0-0, au 1-1. Kona 12 hakuna goli linalotokana na hizo kona.Sasa huyu AUBA akitua THE BLUES si atafeli vibaya sana.
Timu haichezi counter attacks, haiwezi kupiga pass ndefu na penetration pass kwenda mbele, timu inashambulia slow motion na kwenda kujazana kwenye lango la opponent (piga nikupige).
Aina ya uchezaji wa AUBA katika kushambulia ni tofauti na style ya uchezaji THE BLUES.
Hivi ukumbuki RLC chini ya sarri alifanya Nini alivyokuwa anacheza no 10?Kwa kikosi tulichonacho sasa RLC ni mzuri. je atakidhi vigezo vya viungo wanaotakiwa na Chelsea? Je atakuwa na consistency ya kumfanya afikie viwango vya ubora unaotakiwa au ndio mechi hii anacheza vizuri, mechi inayofuata anapotea?
Consistency ya performance ya mchezaji is directly proportional to the consistency of his selection by the gaffer. Leo mchezaji anacheza anaperform, zinapita siku 7 hajacheza tena. Siku akichaguliwa tena kucheza, anacontrol mpira kwa ugoko. Kocha anaona tena hafai. Anamuacha.Kwa kikosi tulichonacho sasa RLC ni mzuri. je atakidhi vigezo vya viungo wanaotakiwa na Chelsea? Je atakuwa na consistency ya kumfanya afikie viwango vya ubora unaotakiwa au ndio mechi hii anacheza vizuri, mechi inayofuata anapotea?
Anakuja na De Jong na hapo itakuwa mwisho wa Jorginho. Chilwell na Cucurella watakuwa wakirotate na au Koulibally na Cucurella watakuwa wakirotate. Kova na Dejong rotation, Kante na RLC rotation, Silva na Azpilicuta rotation. Auba na Broja rotation na Sterling na Havertz watafanya rotaionSasa huyu AUBA akitua THE BLUES si atafeli vibaya sana.
Timu haichezi counter attacks, haiwezi kupiga pass ndefu na penetration pass kwenda mbele, side ways/back pass milion 1, timu inashambulia slow motion na kwenda kujazana kwenye lango la opponent (piga nikupige).
Aina ya uchezaji wa AUBA katika kushambulia ni tofauti na style ya uchezaji THE BLUES.