Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Allan Saint-Maximin akija darajani anaweza kufungua ngome nyingi za timu pinzani na hivyo kuongeza ufungaji wa magoli kwa fowards wetu
An uwezo wa kukaa na mpira, kukimbia, kufanya dribling, kufunga nk
 
Allan Saint-Maximin akija darajani anaweza kufungua ngome nyingi za timu pinzani na hivyo kuongeza ufungaji wa magoli kwa fowards wetu
An uwezo wa kukaa na mpira, kukimbia, kufanya dribling, kufunga nk
Mkuuu kila mchejazi unamtaka aje Chelsea tu
 
Allan Saint-Maximin akija darajani anaweza kufungua ngome nyingi za timu pinzani na hivyo kuongeza ufungaji wa magoli kwa fowards wetu
An uwezo wa kukaa na mpira, kukimbia, kufanya dribling, kufunga nk
Huu ni urafiii Sasa ,ifike hatua mjue aina ya wachezaji wanaoweza kuja kucheza Chelsea mwisho wa siku mtasema kagere anaweza kuja kucheza hapo darajan kudadekiii
 
TT anamtaka Benjamin Pavard kuja kuwa backup ya James, hii move inaanza baada ya dili la Kounde na Kimpembe kumalizika. Pavard ni RB mwenye miaka 26 anayechezea klabu ya Bayern na taifa la Ufaransa
 
Changamoto ni kwamba msimu huu media zimejidhihirisha zinasemea upande wao. haijulikani kama hayo yaliyoandikwa ni kweli. Kounde sio muongeaji kama Raphinha. So labda tu ni kambi ya Barc elona wameamua kutunga na kulinganisha na matukio kwa vile Kounde karudi preseason na wenzake. OR may be waliolazimisha ni Sevilla wakitaka dau kubwa kutoka kwa Barcelona ndio wakamlazimisha asubiri? mwanzoni Kounde alishasema yuko tayri kwenda popote kati ya Chelsea na Barca
Media za ulaya ni hatari sana. Zinafahamika kwa mambo makubwa mawili: misleading and bullying. Wakiamua kupotosha utaamini. Wakiamua kunyanyapaa utaona afadhali ufe. Kwa mfano, flopping ya wachezaji wakubwa wanaouzwa ka madau makubwa zinasababishwa na media. Wanawajengea hofu wachezaji kwa price tag zao. Akikosea kidogo tu kwenye mechi moja, kama hana roho ngumu hachezi tena. Fikiria yaliyotokea kwa Fernando Torres alipotoka Liver kuja Chelsea, Lukaku Man U na Chelsea second spell.

Raphinha pamoja na kwamba alikuwa anataka na kutamani sana kucheza Barca, lakini media ziliisaidia sana Barca kuwa na moyo wa kumpata Raphinha. Lakini kama media zingeandika against Barca wangekata tamaa kwasababu kwanza hawakuwa na hela hadi walipouza haki zao za television.
Upotoshaji unatokea pale ambapo media zinaanza kupanga bei za wachezaji wakati hata siyo mtazamo wa club husika. Habari ya thamani ya mchezaji zikiandikwa sana unakuta hata club inasadiki kwamba ni bei ya mchezaji wao lakini mwisho wa siku anauzwa £20,000 pungufu.

Hii habari ya Kounde, tunaweza kuishiwa kununua njugu kwasababu ya media. Wanawapa Barca ujasiri wa kufikiri hata kile ambacho mwanzo hawakufikiria. Nimesoma mahali wameuza tena 25% ya haki zao za television (£260,000,000)kwa kampuni ya Kimarekani na hiyo inaweza kuwapa ujasiri wa kuingia sokoni na hata kumnyakua Kounde mikononi mwa Chelsea. Sielewi ni kwanini kama Sevilla imekubaliana bei na Chelsea na tayari mchezaji ameshapatana na Chelsea kitu gani kinashindikana kumaliza usajili. Au mchezaji anakuwa na tamaa ya mgao mkubwa? Mbona Barca kwa Raphinha Leeds waliishia kupata dau dogo kuliko la Chelsea?
 
TT anamtaka Benjamin Pavard kuja kuwa backup ya James, hii move inaanza baada ya dili la Kounde na Kimpembe kumalizika. Pavard ni RB mwenye miaka 26 anayechezea klabu ya Bayern na taifa la Ufaransa
Kimpembe naona anazingua. Thiago Silva na N'Golo Kante wamezungumza naye lakini amewaambia anataka kubaki PSG
 
Mashabiki wengi wa Chelsea wanasema Chelsea hawahitaji tena winga ila striker na DM baada ya mabeki kusajiliwa
Mimi nadhani tutahitaji pia Wing-backs wawili kama Azpilicueta na Alonso wataondoka au tusajili mmoja halafu tubaki na Emerson kule kushoto
 
Kimpembe naona anazingua. Thiago Silva na N'Golo Kante wamezungumza naye lakini amewaambia anataka kubaki PSG
Twende kwa yule mdogo wake na Kovacic wa RB Leipzig anaitwa Josko Gvardiol, ni mdogo ana miaka 20 tu na ameshajijenga kwenye kuzuia
 
Mpe Sarri Loftas Cheek na wao watupe Sergej Milinkovic-Savic
Biashara kwisha
 
Swali Kounde anaitaka THE BLUES?

Au tunalazimisha vitu ambavyo havipo.

Haiwezekani offer imekubaliwa na Sevilla hapo hapo wanasubiria kauli ya mwisho ya Barcelona.

Yale ya Raphina yanaweza kujirudia tena

Na kwanini tunalazimisha kusajili wachezaji ambao hawatutaki?
Kuna tofauti kubwa kati ya Raphina na Kounde.
Raphina alisema kabisa siitaki Chelsea naitaka Barcelona, Kounde hakuna mahali amesema anaitaka Chelsea/Barcelona au la.!
Kama unakumbuka nadhani n mwaka jana, Kounde alitaka kuondoka Sevilla lkn ikashindikana, aka-post twita kukasirishwa kutokuuzwa kwake lkn pia hakusema alikuwa anataka kwenda wapi tukumbuke pia hiyo mwaka jana Chelsea na Barcelona wote walikuwa wanamtaka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom