Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mkuu hapo kwa marina sio yeye aliyespend dirisha lote la msim uliopita kwa Lukaku

Yani mpk deal la saul likawa nisiku ya mwisho tena sekunde za mwisho kabisa, huku ukiwa unategemea mchezaj flan asain kwanza atl madrid we ndio umpate saul tena siku ya deadline day
Don't judge Marina from one window. Hiyo window uliyotaja haikuwa Rebuilding window
This is a rebuilding window tulitakiwa tuwe fast na precise
 
Wanaume sisi ni box to box performers (single task performers)
Wanawake ni suppergate performers (multitask performers)

Hii ndio tofauti ya Marina na Boehly
Boehly anafanya usajili mmoja ukiisha unafuata mwingine -Too slow
Marina alikuwa akipeleka sajili zote zinazotakiwa kwa pamoja

Tungekuwa na Marina hapa biashara ingeisha asubuhi

Tutaanza ligi tukiwa tumepigwa bao na Arsenal na Spurs
Tusipokuwa makini msimu huu unaoanza, tutagombania nafasi ya 5 na Man U. Arsenal na Spurs are miles ahead of us. Ngoja tuone mechi ya Jumapili na Arsenal inakuwaje na mshambuliaji wetu Batman.
 
BARCELONA NI WAHUNI SANA , DAH

🚨🚨| It was FC Barcelona who told Jules Koundé to travel with Sevilla & Chelsea are not happy with it. This was a very significant decision by the player.
@gerardromero [🎖️]
 
Tatizo la Kimpembe, uzuri wake mkubwa uko kwenye passing tu,maeneo mengine yuko average compared to other great current CBs
Uko sahihi kabisa kiongozi. Mahali pengi sana anakalishwa na mabeki wa Chelsea wa sasa walioondoka. Angalia takwimu hapa chini:
Screenshot_20220722-081659_Chrome.jpg
Screenshot_20220722-081821_Chrome.jpg
Screenshot_20220722-081908_Chrome.jpg
Screenshot_20220722-082025_Chrome.jpg
 
Wanaume sisi ni box to box performers (single task performers)
Wanawake ni suppergate performers (multitask performers)

Hii ndio tofauti ya Marina na Boehly
Boehly anafanya usajili mmoja ukiisha unafuata mwingine -Too slow
Marina alikuwa akipeleka sajili zote zinazotakiwa kwa pamoja

Tungekuwa na Marina hapa biashara ingeisha asubuhi

Tutaanza ligi tukiwa tumepigwa bao na Arsenal na Spurs
Upo sahihi mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]

Maguire yupo sokoni, in case mkapigwa na kitu kizito na barca
 
Don't judge Marina from one window. Hiyo window uliyotaja haikuwa Rebuilding window
This is a rebuilding window tulitakiwa tuwe fast na precise
Marina anamakosa yake tu mengi, na yeye ndio katuweka kwenye hii hali ya sasa kutaka kusajil 2CB
+ kukumbatia madeadwood n stil alikuwa anayaongezea mikataba

Msim wa 2019-20 alikuwq na option ya kumuonheza rudiger mkataba ila akapuuzia
 
Sometym statistics sio za kuzitegemea kujua uwezo w mchezaji mana huyo Sar namwona w hovyo uwanzani lakin stastics zake kuwapita pita.
Napingana na wewe kwa points hizi
Statistics ndizo njia pekee ya kumuelewa mchezaji
Jambo moja tu sio kila stats itamuonyesha mchezaji ni mzuri kulingana na factors nying kama
  1. Ligi anayocheza
  2. Oponent anayecheza naye, (kama oponent anacheza sana long balls na mipira ya juu itabidi mchezaji awe mzuri kwenye aerial duels nk)
  3. Wachezaji wanaoshirikiana naye (wachezaji huwa wanafanyiana kitu kinachoitwa complimentarily, yaani kukamilishana, mchezaji asiye mzuri kwenye Aerial duels atafunikwa na mwenzake ambaye ni mzuri kwenye hayo mambo na ndio maana baada ya Silva kuja backline yote ilionekana ni nzuri sana,)
  4. Nafasi anayochezea nk
At least mchezaji mzuri lazima awe guru kwenye facto mbili au tatu,

Malanga Sarr atakuja kuwa Beki mzuri kwa sababu ni mzuri kwenye interceptions
Anachotakiwa aboreshe ni kuusoma mpira kama Silva na Kante wanavyofanya na hivyo kumsaidia kuwa kwenye position kwa muda muafaka. Sasa hivi Sar bado ana papara halafu hajui kuusoma saikolojia na mwenendo wa mchezo unavyokwenda kwa hivyo sometime anakua out of position, akija kushtuka anaishia kuruka ruka tu. Kocha akienda naye vizuri akaboreka kwenye hilo atakuwa bonge la CB
 
Tupate Mkurugenzi wa michezo atusajilie mashine za kueleweka.

Miaka ya hivi karibuni tumefanya sajili nyingi za ovyo ovyo.

Turudi kwenye ule utamaduni wetu kuwa na wachezaji wenye nguvu, kasi, ubunifu/uwezo mkubwa.

Heshima irudi pale Darajani, lango lifungwe kwa walanguzi kuchukua point kirahisi.
Mkurugenzi wa ufundi nahisi atakuwa appointed baada ya ligi kuanza,
Option ni hizi
Michael Edward
Paul Mitchel
Maxwell

Tukimpata mapema tutegemee sajili za summer 2023 zikiwa nzuri n deals kuwah kukamilika zitakazoendana na mahitaji ya tim
 
Nahisi Barcelona wanweza kumuachia Jules Kounde ili tusiwanyime Azpilicueta na Alonso
Na wakimchukua tu Kounde, Azpi na Alonso tunawapiga pesa ndefu
 
Winger mzuri sana wa kuwagawa mabeki na kutengeneza nafasi za kufunga kwa strikers. One on one yuko vizuri. Ukiwa na Sterling kushoto, yeye kulia, lazima mabeki wagawanyike.
Je, Newcastle wako tayari kumuachia talisman wao?
 
Swali Kounde anaitaka THE BLUES?

Au tunalazimisha vitu ambavyo havipo.

Haiwezekani offer imekubaliwa na Sevilla hapo hapo wanasubiria kauli ya mwisho ya Barcelona.

Yale ya Raphina yanaweza kujirudia tena

Na kwanini tunalazimisha kusajili wachezaji ambao hawatutaki?
Changamoto ni kwamba msimu huu media zimejidhihirisha zinasemea upande wao. haijulikani kama hayo yaliyoandikwa ni kweli. Kounde sio muongeaji kama Raphinha. So labda tu ni kambi ya Barcelona wameamua kutunga na kulinganisha na matukio kwa vile Kounde karudi preseason na wenzake. OR may be waliolazimisha ni Sevilla wakitaka dau kubwa kutoka kwa Barcelona ndio wakamlazimisha asubiri? mwanzoni Kounde alishasema yuko tayri kwenda popote kati ya Chelsea na Barca
 
Taarifa zinasema kuwa Barcelona hawawezi kwa sasa kushindana kifedha na timu kubwa, usajili waliokwisha fanya na mzigo wa mishara uliopo inatosha kabisa kuwapa alert wasiendendelee na matumizi holela. Sevilla wao walijua tangu mwanzo kuwa Barcelona hawawezi kufikia dau la Chelsea na ndio maana Barcelona walipojaribu kumuomba Kounde acheleweshe mambo Sevila waliwapa onyo Barca kuwa hawatapewa mchezaji wasipofikia dau la Chelsea
Sasa Barca wamesalimu amri wanaelekeza vijisenti vilivyobaki kwenye wachezaji wasio na competition
Tukumbuke kuwa Financial Lever walioactivate jana ni kwa ajili ya matumizi mengine ya uendeshaji na sio wachezaji. Ili waweze kununua wachezaji Barca wanatakiwa kuuza wachezaji na ndio maana wanajitahidi kumuuza De Jong

Sevilla wanachelewesha kusaini papers za mikataba waliotumiwa na Chelsea jana usiku kwa sababu bado kuna tofauti ndogo kati yao kwenye addons na utaratibu mzima wa malipo ambazo zinahitaji kusuluhishwa. Hope mambo yote yataisha leo na Kounde kesho ataanza medical chekckup
End of story
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom