Theb
JF-Expert Member
- Jan 25, 2019
- 3,927
- 7,287
Beki yetu inavuja sawa. Vipi kile kikundi chenu cha watoto wa Sunday school. Kilikua cha ngapi.? Na next season mtaishia wa 8 au 10 hukoMy prediction, Chelsea mtaishia kuwapata Nathan Ake na De ligt wote hawa Ni mabench warmer
Tutarajie kuona vituko kwenye backline ya Chelsea msimu huu, mlimaliza kwa beki yeenu kuvuja sana , tutarajie kuendelea pale mlipoishia