Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chaloba bado sana ni dhaifu mno kucheza nyuma, tumependelewa tu inge kua paneti pale alipo shika mchezaji wa Newcastle, tena hata kudefendi kiwango kipo chini kwa timu kama Chelsea.
 
Chalobah anafanyaga makosa mengi sana ,na Silva huwa anasahihisha sana makosa ya huyu dogo
Kitu cha muhim bado ana nafasi ya kusahihisha n kuimprove,

Hata Christeansen kuna kipind alikuwa na makosa makosa ila sahiv anaonekana katulia,

Chalobah now anapapara.
 
Hii chelsea,inaweza kumaliza ligi ikiwa nafasi ya 7. players look dejected
Inakuhusu nini akimaliza nafasi ya Saba?

Chelsea imechukua UEFA championship Cup msimu ulioisha

Chelsea imechukua UEFA Super Cup mwezi uliopita

Chelsea imechukua Club World Cup mwezi ulioisha

Chelse anacheza UEFA mpka sasa.

Chelsea yupo nafasi ya tatu pamoja na change changamoto anayopitia kwa sasa lakini bado yupo imara.

Ebu twambie Arsenal yupo wapi? Na ana nini cha kujivunia?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom