Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wyss anamchukia Roma na Putin, hana mapenzi na mpira, uamuzi wake wa kununua Chelsea umekuja kama suprise lengo lake kuu ikiwa ni kumuondoa Abramovich darajani. Hivyo tutegemee akiinunua Chelsea inaweza kuzorota na kuwa kama akina Crystal Palace
Wyss ni kama mmoja wapo. Ila mwenye nia ni Todd Boehly ambaye mwaka 2019 alijarib kutununua ila Roman akamkatalia

Hawa ni consortium so maamuzi hayawez ya kuwa ya mtu mmoja
 
Umesikia kauli ya Roman Abramovic ungeisikia nadhani mashabiki wote wa Chelsea tungemuunga mkono Tajiri yoyote atakaye chaguliwa na Roman kuwa mmiliki mpya wa Chelsea
Yeah nimeonaa hiyo kauli ya alipewa tender ya kutafuta wanunuzi,
 
Msimu unaweza kuisha timu haijauzwa bado.

Huyo tajiri wa uswis bado analia lia bei tajwa ni kubwa kwake, mpaka atafute wadau wengine washirikiane kununua.

Huu mchakato wa kununua THE BLUES sio mrahisi kama unavyodhani.

Kujitokeza hadharani kutangaza kununua timu ni jambo rahisi, ila kuingia kwenye mchakato wenyewe wa kuinunua ni process ndefu.
Ungeisikia kauli ya Roman Abramovic wala usingekuwa na wasiwasi Roman amesema ataangalia kiwango Cha pesa pekee bali mipango mizuri aliyonayo huyo Tajiri atakaye mpa timu kuifanya Chelsea izidi kuwa shindani na kuendelea kufanya vizuri michuano ya ulaya na ligi kiumja.Ukiangalia hii kauli unaona kabisa Roman alivyoserious na kuipenda Chelsea anataka kutuachia chelseafc kwenye mikono salama.
 
Yeah nimeonaa hiyo kauli ya alipewa tender ya kutafuta wanunuzi,
Abramovic kasema hataangalia kiwango Cha pesa pekee Cha Tajiri atakaye inunua Chelsea bali pia mipango mizuri aliyonayo huyo Tajiri kuiendeleza Chelsea kufanya vizuri michuano ya ulaya na ligi kiujumla.Mimi nashangaa mashabiki wenzangu wanavyokuwa na wasiwasi na mmiliki mpya
 
Wyss anamchukia Roma na Putin, hana mapenzi na mpira, uamuzi wake wa kununua Chelsea umekuja kama suprise lengo lake kuu ikiwa ni kumuondoa Abramovich darajani. Hivyo tutegemee akiinunua Chelsea inaweza kuzorota na kuwa kama akina Crystal Palace
Kauli ya Roman n anataka kuhakikisha timu inabaki ktk mikono salama Kwa waajiri wapya atakaowauzia... So probably hawezi akawauzia hao kina wyss

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Ungeisikia kauli ya Roman Abramovic wala usingekuwa na wasiwasi Roman amesema ataangalia kiwango Cha pesa pekee bali mipango mizuri aliyonayo huyo Tajiri atakaye mpa timu kuifanya Chelsea izidi kuwa shindani na kuendelea kufanya vizuri michuano ya ulaya na ligi kiumja.Ukiangalia hii kauli unaona kabisa Roman alivyoserious na kuipenda Chelsea anataka kutuachia chelseafc kwenye mikono salama.
Acha kujipa moyo wewe.. mpaka sasa hakuna tajiri yeyote aliye serious, hata huyo Wyss ambae walitegemea ndio angeichukua timu mpaka sasa bado anasitasita, mpaka waunde kikundi cha wahuni kadhaa ndio waje kuibeba timu.

Huyo Abramovich anafanya kila namna aiuze timu kwa wakati huu.

Unavyosema mpaka aangalie mmiliki gani atakuwa na mipango mizuri kwa ajili ya timu, hapo mnajipa moyo tu.

Hao wanunuzi wenyewe ni wachache kisha still achague wa kumpa timu?

Labda hana lengo la kuuza!
 
Acha kujipa moyo wewe.. mpaka sasa hakuna tajiri yeyote aliye serious, hata huyo Wyss ambae walitegemea ndio angeichukua timu mpaka sasa bado anasitasita, mpaka waunde kikundi cha wahuni kadhaa ndio waje kuibeba timu.

Huyo Abramovich anafanya kila namna aiuze timu kwa wakati huu.

Unavyosema mpaka aangalie mmiliki gani atakuwa na mipango mizuri kwa ajili ya timu, hapo mnajipa moyo tu.

Hao wanunuzi wenyewe ni wachache kisha still achague wa kumpa timu?

Labda hana lengo la kuuza!
Kwa report inavyosema wamefika 10 na Kati ya hao kuna tajiri mmoja kutoka uturuki ambaye anatajwa kuwa ni rafiki wa karibu na Abramovic nameshaanza kutaja majina ya wachezaji ambao anataka kuwaleta darajani pindi atakapo kuwa mmiliki wa Chelsea na ameshawasilisha offer yake.Huyu ndio naona probably ndio atakuwa ndio mmiliki mpya wa Chelsea.kijana subiri moto utakuwa ule ule aliuacha Abramovic hao uliowataja hawawezi kupewa team kwanza Abramovic aliwahi kuwakataa hapo awali walivyotaka kuinunua Chelsea
 
Acha kujipa moyo wewe.. mpaka sasa hakuna tajiri yeyote aliye serious, hata huyo Wyss ambae walitegemea ndio angeichukua timu mpaka sasa bado anasitasita, mpaka waunde kikundi cha wahuni kadhaa ndio waje kuibeba timu.

Huyo Abramovich anafanya kila namna aiuze timu kwa wakati huu.

Unavyosema mpaka aangalie mmiliki gani atakuwa na mipango mizuri kwa ajili ya timu, hapo mnajipa moyo tu.

Hao wanunuzi wenyewe ni wachache kisha still achague wa kumpa timu?

Labda hana lengo la kuuza!
wamejitokeza wanunuzi zaidi ya 10 ...hili zoezi ni la mchakato mrefu sio km kununua maandazi dukani Kwa muda mfupi

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Kwa report inavyosema wamefika 10 na Kati ya hao kuna tajiri mmoja kutoka uturuki ambaye anatajwa kuwa ni rafiki wa karibu na Abramovic nameshaanza kutaja majina ya wachezaji ambao anataka kuwaleta darajani pindi atakapo kuwa mmiliki wa Chelsea na ameshawasilisha offer yake.Huyu ndio naona probably ndio atakuwa ndio mmiliki mpya wa Chelsea.kijana subiri moto utakuwa ule ule aliuacha Abramovic hao uliowataja hawawezi kupewa team kwanza Abramovic aliwahi kuwakataa hapo awali walivyotaka kuinunua Chelsea
Nzuri hyo

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Walioonyesha interest ni 300
Credible buyers ni 10
According to Raine Group -- the New York merchant bank hired by Abramovich to find a buyer
Source: ESPN
 
Broadcaster wa EPL kule China wamesema wiki hii hawataonyesha hayo mashindano katika kuwasupport Ukrain
Hii inaenda sambamba na makubaliano ya makapeteni wa EPL watavaa armbands za rangi ya Ukraine ili kuonyesha support na kupinga uvamizi wa Urusi kule Ukraine
Mwezi uliopita Xi Jinping na Puttin walitangaza pale Beijing kuwa urafiki wao hauna mipaka
Maswali ni mengi bila majibu

Je huyo broadcaster kweli kaacha kurusha mechi ili kusuport Ukrain au ni kwa sababu makapteni wamekubaliana kuvaa armbands za bendera ya Ukraine au ni Xi Jinping kapiga stop?
 
Roman Abramovich in no rush to sale Chelsea and will not consider bids from either China or Saudi Arabia

Ravitch said: "We are not going to rush anything. It is very important that Chelsea have the right owner to guide the club forward."

But according to Reuters' source, that buyer won't come from either China or Saudi Arabia.

-Reuter
 
Broadcaster wa EPL kule China wamesema wiki hii hawataonyesha hayo mashindano katika kuwasupport Ukrain
Hii inaenda sambamba na makubaliano ya makapeteni wa EPL watavaa armbands za rangi ya Ukraine ili kuonyesha support na kupinga uvamizi wa Urusi kule Ukraine
Mwezi uliopita Xi Jinping na Puttin walitangaza pale Beijing kuwa urafiki wao hauna mipaka
Maswali ni mengi bila majibu

Je huyo broadcaster kweli kaacha kurusha mechi ili kusuport Ukrain au ni kwa sababu makapteni wamekubaliana kuvaa armbands za bendera ya Ukraine au ni Xi Jinping kapiga stop?
Mmh Mzee utakuwa umechanganya nadhani hawatarusha EPL ili kuwasapoti russia

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Mbona leo Alonso hayupo hata benchi, Odoi hivyo hivyo, ile nafasi ya Saul nina wasiwasi, Unless kama wanacheza 4-3-3
lakini kama ni 3-4-3
1646491783769.png
 
Nimeripoti hivyo hivyo kama ilivyoripotiwa na media nyingi wala sio moja, "IN SUPPORT TO UKRAINE"
Hata The Citizen Tanzania, BBC na wengineo wameripoti hivyo hivyo. China will not air English Premier League matches over Ukraine support
Nafikiri umejichanganya Kiingereza Tu Mzee China wamepanga kutokuonyesha hizi games ili kuwasupport Russia maana kumekuwepo na ripoti kuwa macaptain WA timu za EPL leo watavaa armbands zenye nembo ya bendera ya Ukraine km kuwasapoti waukraine na kutokana na ripoti hyo China wamepanga kutoonyesha mechi hizo...hyo "OVER UKRAINE SUPPORT" ndo imebeba maana halisi

[emoji630] China are set to not broadcast the Premier League this weekend in order to support Vladimir Putin and Russia.

(Source: BBC)

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom