Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Timu zinazo huzwa ucheza kwa nguvu sana ili mnunuaji aione inunue sasa.
 
Nafikiri umejichanganya Kiingereza Tu Mzee China wamepanga kutokuonyesha hizi games ili kuwasupport Russia maana kumekuwepo na ripoti kuwa macaptain WA timu za EPL leo watavaa armbands zenye nembo ya bendera ya Ukraine km kuwasapoti waukraine na kutokana na ripoti hyo China wamepanga kutoonyesha mechi hizo...hyo "OVER UKRAINE SUPPORT" ndo imebeba maana halisi

[emoji630] China are set to not broadcast the Premier League this weekend in order to support Vladimir Putin and Russia.

(Source: BBC)

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Ripoti yangu ya mwanzo kama umesoma hadi mwisho nilikuwa na maswali yenye kuleta hiyo hiyo point yako na ndio maana nikakurefer hiyo ripoti yamwanzo. Hujanisoma hadi mwisho, Sorry for that
 
wewe kichwa panzi huelewei kitu oote unatafsiriwa na bado unakaza fuvu tu.😂😂😂😂😂
Yai pa, huna akili hata moja wewe ni mandazi tu. Kuproove wew yai nenda kasome point yangu ya mwanzo nimeripoti vizuri kupitia swali kama aliyeniquote alivyoripoti, Only sikuenda direct na zero brain kama wewe ni ngumu kuelewa kazi kudandia mada tu!!
 
JAMES amerudi dimbani ule ubora wa timu kwenye mashambulizi kama mwanzo wa msimu umerudi.

Chilwell akirudi msimu ujao + usajili wa kiungo + sajili mbili kule mbele tutakuwa moto sana.
Chelsea inahitaji kusajili central back mmoja, Central midfield na Right back. Wakusaidiana na James hizo ndio position muhimu zaidi. Sidhani kuna ulazima wowote wakusajili striker ikiwa tuna broja, Lukaku na Kai huku kwenye eneo attack midfielder anaongezeka Callagher
 
Chelsea inahitaji kusajili central back mmoja, Central midfield na Right back. Wakusaidiana na James hizo ndio position muhimu zaidi. Sidhani kuna ulazima wowote wakusajili striker ikiwa tuna broja, Lukaku na Kai huku kwenye eneo attack midfielder anaongezeka Callagher
Mkuu tunahitaj back up ya james n chilwell

Tumetetereka sana baada ya kukosekana kwa chilwel na james

Kama kusajil ni ngumu tutafute madogo wa academy wenye uwezo + pace watakaoweza kutupa hata ile nusu ya chilwel n james

Kai aendelee kucheza hapo hapo kwenye false no 9, anaweza akaaa hafungi ila anauwezo wa kufungua njia kwa wengine kufunga
 
Chelsea inahitaji kusajili central back mmoja, Central midfield na Right back. Wakusaidiana na James hizo ndio position muhimu zaidi. Sidhani kuna ulazima wowote wakusajili striker ikiwa tuna broja, Lukaku na Kai huku kwenye eneo attack midfielder anaongezeka Callagher
Broja anarudi kwani?
 
Tunasajili winga 2 kushoto na kulia wa kuvaa viatu vya Hazard. Winga tulizonazo sasa hazina uwezo wa kuamua mechi, uwezo wao ni wa kuingia SUB.

Huyu mmliki mpya anaonekana yuko tayari kusajili mashine za kazi.
Huyo mmiliki mpya ndio yupi? Ebu tuambie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom