Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Just in:

According to sources!

New Chelseafc owners will ask their high earners to take pay cut to line up with the current market.

Big changes incoming at #CFC[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yan mnavyowajadili hao matajiri utafikiri mtaweza kubadilisha chochote.

Binafsi yangu sitaacha kuishabikia Chelsea kwa namna yoyote ile. Hakuna mtu aliyeomba hili ila ndio ishatokea sisi kama fans tunafuata kitakachokuja mbele yetu. Pamoja na yote maisha lazima yaendelee na ndio jana kuamkia leo tulicheza mechi yaFA na tulicheza vizuri sana
 
Yan mnavyowajadili hao matajiri utafikiri mtaweza kubadilisha chochote.

Binafsi yangu sitaacha kuishabikia Chelsea kwa namna yoyote ile. Hakuna mtu aliyeomba hili ila ndio ishatokea sisi kama fans tunafuata kitakachokuja mbele yetu. Pamoja na yote maisha lazima yaendelee na ndio jana kuamkia leo tulicheza mechi yaFA na tulicheza vizuri sana
Kichwa maji, unataka ujadiliwe wewe?
 
Yan mnavyowajadili hao matajiri utafikiri mtaweza kubadilisha chochote.

Binafsi yangu sitaacha kuishabikia Chelsea kwa namna yoyote ile. Hakuna mtu aliyeomba hili ila ndio ishatokea sisi kama fans tunafuata kitakachokuja mbele yetu. Pamoja na yote maisha lazima yaendelee na ndio jana kuamkia leo tulicheza mechi yaFA na tulicheza vizuri sana
Waache wabwabwaje tu na KUONESHA mahaba yao juu ya matajiri hasa waarabu.

Mwisho Mwenye kisu kikali ndiye atakae kula NYAMA.

Wakae Kwa kutulia tu,Wao watabaki kuwa fans maana hakuna mchango wowote wanao fanya kwenye club zaid ya porojo tu.
 
Waingereza toka mwanzo hata kabla ya vita hawampendi abramovich kwa chuki zao waingereza ni wabaguzi sana wanatabia yakubagua hadi wazungu wenzao hilo suala la vita ndio unafiki wakaukoleza ila kiukwel huko palestina kulikuwa na vita wapaleastina waliuliwa hata libya kule lkn hatukusikia #we stand with palestina tena ukijaribu kufanya basi utafungiwa mechi hata 10 kingine Hata wao FIFA na uefa walisema hawatoingiliana na siasa lkn imekuwa tofaut jamaa wana unafiki wa kiwango cha juu sana . abramovich walishaanza kumuwekea vikwazo pia asikanyage pale UK .
Waingereza wanaenda kuliua soka lao kwa kuingiza siasa kweny mpira
, Team zenye ushawahi mkubwa nje ya uingereza kama hzi zikimilikiwa na hawa wamarekan na waingereza hazifik popote
Waingereza wanawivu sana hawapend wageni wakiwa wanaziongoza team zao kubwa
Unajidanganya...!! Yeye asepe tu na mpunga wanaweza wakamdhulumu na hamna kitu atafanya ...!! Atakuja tycom mwingine timu itaenda , ikizingua kuna nyingine itaibuka , ukweli ni kuwa mpak sasa upepo wa mafanikio umewekwa mikononi mwa wazungu , hata wawaonee vip still upepo wa mafanikio upo kwao, hata miaka 100 ijayo sioni wakianguka, kilichopo ni wewe kuzichanga karata zako vizur , utembee nao ule mema ya nchi au ujikate ufe kibudu..full stop
 
Acha Uboya wewe Jamaa! Unadhani hizi hela tunazolipia Dstv zinaenda Kijijini kwenu kulima Majaruba?

Heshimu sana Washabiki hata kama wapo Tanzania haimaanishi hawachangii chochote kwenye Timu.

Mshabiki wa Chelsea anapolipia Dstv hizo hela ndiyo wanazilupwa Chelsea kama haki ya Matangazo ya TV na ikumbukwe bila ya hizi fedha za haki za matangazo ya TV hizo timu zisingekuwa hapo zilipo kwasababu bila ya TV hizo Fanbase wasingekuwanazo na wangekosa Wadhamini wengine kama NIKE, ADIDAS, PUMA n.k. wanaotoa hela zao kulingana na Fanbase.

Hivyo jenga heshima kwa Washabiki wanaoichangia Timu kupitia Dstv either kulipa wao directly au kupitia Jero zao za Vibanda Umiza.

Pia wanaostream online zile MB zao usidhani kuwa wamehongwa bali wamenunua kustream kwenye Channel ambayo imenunua matangazo, hizo hela walizonunulia Matangazo ndiyo zinarudi kwa Chelsea.

Waombe Radhi washabiki wa Chelsea wanaoichangia Timu yao.
Ni kweli
 
Roman Abramovich alisema itachukua siku ngapi kabla ya kufungua tenda, nimesikia kama siku 5 au 7?
Leo ni siku ya 3
Tunasubiri kwa hamu ili tujue tunakuwa chini ya nani?
 
Acha Uboya wewe Jamaa! Unadhani hizi hela tunazolipia Dstv zinaenda Kijijini kwenu kulima Majaruba?

Heshimu sana Washabiki hata kama wapo Tanzania haimaanishi hawachangii chochote kwenye Timu.

Mshabiki wa Chelsea anapolipia Dstv hizo hela ndiyo wanazilupwa Chelsea kama haki ya Matangazo ya TV na ikumbukwe bila ya hizi fedha za haki za matangazo ya TV hizo timu zisingekuwa hapo zilipo kwasababu bila ya TV hizo Fanbase wasingekuwanazo na wangekosa Wadhamini wengine kama NIKE, ADIDAS, PUMA n.k. wanaotoa hela zao kulingana na Fanbase.

Hivyo jenga heshima kwa Washabiki wanaoichangia Timu kupitia Dstv either kulipa wao directly au kupitia Jero zao za Vibanda Umiza.

Pia wanaostream online zile MB zao usidhani kuwa wamehongwa bali wamenunua kustream kwenye Channel ambayo imenunua matangazo, hizo hela walizonunulia Matangazo ndiyo zinarudi kwa Chelsea.

Waombe Radhi washabiki wa Chelsea wanaoichangia Timu yao.
Na mashabiki wanataka kuinunua timu iwe yao,

Vipi haujaona??
 
Kuuza timu sio rahisi kama kuuza mtumba soko la karume, wateja wanagombania.

Kuuza/kununua timu yenye thamani kubwa kama THE BLUES ni process ndefu.

Na ikumbukwe wanunuzi ni wachache kulingana na bei tajwa sokoni 7 trillion.

Na uuzaji wa timu umekuja ghafla, matajiri wanaishi katika malengo ya muda mrefu katika uwekezaji wao.

Sasa hii fursa imekuja ghafla sokoni lazima kuwe na michakato mirefu ya kufanya kwenye ununuzi.
Yote hayo najua lakini kusudi la kuuza timu haiangalii hayo uliyosema kwa sababu sababu kuu ni kuogopa kuwekewa vikwazo na kunyang'anywa timu bila hata senti. Mimi naona halitachukua muda. Kuhusu matajiri kuwa na plan za muda mrefu ni sawa lakini hilo lina uhusiano gani na kununua Chelsea. Wako matajiri pesa zao zimekosa pa kuwekeza ziko benki tu na wengine walikuwa wakivizia fursa kama hizi zitokee na ndani ya muda mfupi wafanye mavituz

Nilisoma sehemu ilikuwa leo Ijumaa ndio mwisho na pia nimesikia yupo aliyeweka bid ya billion USD5.5
Tenda zilziopokelewa ni kati ya dola bil 3 hadi 5.5

Pia Abramovich ameahidi kuwa kiasi cha Paundi bil 2 zitatengwa kwa ajili ya kuchangia kwenye Foundation itakayoundwa kuwasaidia wahanga wa vita kule Ukraine.
 
John Terri ashambuliwa kwenye twitter yake aliyoweka kumsifia Bosi Roma "The Best"

John Terry urged to take down "appalling" Twitter message to Chelsea owner Roman Abramovich​

John Terry paid tribute to his former boss on Twitter after Russian billionaire Roman Abramovich announced his plans to sell Chelsea after successful 19-year reign

John Terry's tribute to Chelsea owner Roman Abramovich has been labelled "appalling" by Labour MP Chris Bryant, who has called on the Blues legend to take it down.

Terry paid tribute to his former boss on Twitter after Abramovich announced his plans to sell Chelsea.

The ex-England captain posted a picture of himself holding the Premier League trophy alongside Abramovich with the caption: "The best".

Bryant responded to the post: "This is appalling.

"I think John Terry you should take this down ASAP. The people of Ukraine are being bombed, shelled and murdered while you celebrate Abramovich."

Abramovich has this week faced calls to have his assets seized by the government, with Sir Keir Starmer hitting out at Boris Johnson in the first PMQs since Russia invaded Ukraine, asking "why on earth" the billionaire is not facing sanctions.

Speaking in the House of Commons on Thursday, Bryant said: "Some of us are anxious about why we're not going further on the sanctioning of individuals.

"It's a mystery to me why Roman Abramovich has not yet been sanctioned. The Government itself knows he's been engaged in illicit activity and he's a person of concern to the government, which is why they've not been encouraging him to come to the UK.


"I don't know why Alisher Usmanov has not yet been sanctioned. He's been sanctioned by the EU but not by us. He owns Sutton Place, I don't know why we don't seize that asset.

"I don't know why the UK has not yet seized a single yacht, or a flat, or a property of any kind, whilst over countries in Europe are able to do that.

"Finally, I wonder whether she [Conservative MP Nadine Dorries] would condemn John Terry today. I don't know whether she's seen this, but he has posted today a photo of himself with Roman Abramovich, who is one of Putin's cronies, what will the people of Ukraine think of the former England football captain?"

Dorries, the secretary of state for digital, culture, media and sport, replied: "I agree with much of what he [Bryant] says.

"He knows that I'm limited in what I'm able to do in my department, I cannot mention names, and I hope that we will see the Foreign Office come forward with the sanctions that he's looking for."
 
Most Valuable XI at 4-2-3-1
1646404070482.png
 
Roman Abramovich alisema itachukua siku ngapi kabla ya kufungua tenda, nimesikia kama siku 5 au 7?
Leo ni siku ya 3
Tunasubiri kwa hamu ili tujue tunakuwa chini ya nani?
Deadline ya kupokea bids ni tareh 15 march
 
Hawa jamaa (Todd Boehly and Hansjorg Wyss) wako serious na wamedai watatoa dau zuri ili kuimiliki Chelsea na mali zake zote

Inadaiwa pia kuna mshirika wa tatu ambaye bado hajulikani ambaye naye atakuwa na ahsare kwenye huu ununuzi

Wyss took a plane (probably private) yesterday from New York to California to meet with Boehly to finalise paperwork and the finer details of the strategy.
 
Hawa jamaa (Todd Boehly and Hansjorg Wyss) wako serious na wamedai watatoa dau zuri ili kuimiliki Chelsea na mali zake zote

Inadaiwa pia kuna mshirika wa tatu ambaye bado hajulikani ambaye naye atakuwa na ahsare kwenye huu ununuzi

Wyss took a plane (probably private) yesterday from New York to California to meet with Boehly to finalise paperwork and the finer details of the strategy.
kuna mmoja pia bwanyenye kutoka uturuki inaonekana likely ndo atainunua Chelsea ....mi binafsi naona Bora huyu Kwanza networth yake NI kubwa kuliko hao kina Todd n wyss Afu pia ... inasemekana wyss sio mpenzi WA mpira Sana ....tuone itakavyokuwa Ila Kwa tetesi inaonekana ana percent kubwa kufinalise deal

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom