Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Acha matusi tangu Abramovic aichukue chelseafc hakuna team yeyote kutoka uingereza iliyochukua mataji mengi (21) zaidi yake na pia hatujawahi kupita misimu miwili bila kuchukua kombe lolote
Soma kilichoandika. "Tangu FSG wameichukua Liverpool".


Anzia hapo mzee.
 
Absolutely kiukweli wanakera Sana RLC ni mchezaji mwenye talent kubwa Sana ila kuna vitu anatakiwa avifanyie kaxi kama kuachia mpira kwa haraka, kuwa na consistency na kujituma atakuwa bonge la mchezaji
Alikua kashaanza kuwa kwenye ubora wake hasa kile kipindi cha Sarri alitengeneza combination nzuri sana na Hazard. Alipopata majeraha tu naona ili mdrain confidence yake yote mpk bado anajitafuta ila so far anaperform vizuri sana
 
RLC jana kacheza vizuri sana Ila kocha asimpange kwenye central defense tena tukicheza na timu zenye kupress halafu akacheza namna ile, ataruhusu magoli ya kizembe sana. Jana tungecheza na Liverpool au City tungefungwa sana kwa uchezaji wa Loftas cheek karibu na goli

CB haimhitaji mtu anayependa kudrible. Dribling ni kwenye advance position kama attacking midfielder au forward

CB inamhitaji mtu anayeweza kupiga pasi tena za harakla haraka, hii ya kupokea mpira na kuanza kupiga chenga golini ni very very risky
Hasa ukiangalia jinsi alivyokua anacheza chini ya Sarri. Alikua offensive midfield na aliitumia vizuri sana hiyo position.

Hapa nawaza kwa jinsi huyu Conor Galagher anavyouwasha moto huko Crystal Palace hivi akirudi Tuchel si ataumiza sana kichwa namna nzuri ya kuwatumia hawa watu hasa kwenye offensive midfield.

Mount, Kova, RLC, Gallagher, Havertz,
 
Hasa ukiangalia jinsi alivyokua anacheza chini ya Sarri. Alikua offensive midfield na aliitumia vizuri sana hiyo position.

Hapa nawaza kwa jinsi huyu Conor Galagher anavyouwasha moto huko Crystal Palace hivi akirudi Tuchel si ataumiza sana kichwa namna nzuri ya kuwatumia hawa watu hasa kwenye offensive midfield.

Mount, Kova, RLC, Gallagher, Havertz,
Nahisi RLC huenda akauzwa or akatolewa kwa mkopo
 
Poleni na kwa herini teams za mfukoni mwa mtu!
Msimu ujao wa joto mtam saini Pukki wa Norwich kama striker wenu na atasimama
Mbele na Borjal!
Anaye inunua huyu Mswis yy hajui mpira ana nunua kwa sifa tu
 
Ila Liverpool alibebwa haswa kuhusu goli la Lukaku maana halikuwa offside kabisa daaah...! Hakika waamuzi wa UK ni pasua kichwa.

Au nao wanabeti nini?
Wee fuatilia handball ya city evertin wakadhulumiwa ile mbaya
 
Mechi ilikuwa iishe dakika ya 90
Lile bao la Matip ni halali
Matip hakuotea ila VVD alimzuia James akiwa Offside. Kumzuia mcheza inaruhusiwa ila inatafsiriwa kuwa mchezaji anayemzuia mwenzake naye kashiriki kwenye build up play na kwa hiyo VVD angemzuia James akiwa onside isingekuwa shida ila alimzuia akiwa offside so it was offside. Usifananishe hiyo scenerio na ile ya goli la Lukaku
 
Mnapata wapi nguvu ya kujadili wachezaji wakati timu ipo sokoni?

Anaweza kuja tajiri mpya akaachana na habari za kuvunja rekodi za usajili, plan yake kuu ikawa ni kupata wachezaji kutoka academy.

Hapo tutaimba yelooo yelooo namba saba kitani
Natafakari sana katika hili, asije akaja Tajiri akawa na mipango yake kama ya Arsenal ilhali tumezoea Mataji.
 
Natafakari sana katika hili, asije akaja Tajiri akawa na mipango yake kama ya Arsenal ilhali tumezoea Mataji.
Kuna Tajiri wa kiarabu mwingine pia amejitokeza kununua chelseafc hadi sasa wamefika matajiri 7 wanaotaka kununua chelseafc binafsi nataka hao waarabu wawili mmoja wake awe ndio mmiliki wa chelseafc hatutaki maisha kama ya Man u na Arsenal
 
Matip hakuotea ila VVD alimzuia James akiwa Offside. Kumzuia mcheza inaruhusiwa ila inatafsiriwa kuwa mchezaji anayemzuia mwenzake naye kashiriki kwenye build up play na kwa hiyo VVD angemzuia James akiwa onside isingekuwa shida ila alimzuia akiwa offside so it was offside. Usifananishe hiyo scenerio na ile ya goli la Lukaku

Unapingana na FA?
FA wanasema VVD aliotea
 
Waingereza toka mwanzo hata kabla ya vita hawampendi abramovich kwa chuki zao waingereza ni wabaguzi sana wanatabia yakubagua hadi wazungu wenzao hilo suala la vita ndio unafiki wakaukoleza ila kiukwel huko palestina kulikuwa na vita wapaleastina waliuliwa hata libya kule lkn hatukusikia #we stand with palestina tena ukijaribu kufanya basi utafungiwa mechi hata 10 kingine Hata wao FIFA na uefa walisema hawatoingiliana na siasa lkn imekuwa tofaut jamaa wana unafiki wa kiwango cha juu sana . abramovich walishaanza kumuwekea vikwazo pia asikanyage pale UK .
Waingereza wanaenda kuliua soka lao kwa kuingiza siasa kweny mpira
, Team zenye ushawahi mkubwa nje ya uingereza kama hzi zikimilikiwa na hawa wamarekan na waingereza hazifik popote
Waingereza wanawivu sana hawapend wageni wakiwa wanaziongoza team zao kubwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom