mfarisayo
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 5,160
- 2,004
Tulikuwa tunashinda game, lakini ndo hivyo tena. Marefa wanamwogopa babu Fergi, siku akistaafu imekula kwa Manure. Babu kukaa kwenye bench pekee ni kama point 10 mpaka 15 kwa msimu wanapewa za bure.
Vp, unazungumziaje Penalt ya leo? Siku ikila kwako kaa kimya kuna siku na wewe utapata manufaa kwa uamuzi mbovu wa refa. Ila tatizo lenu huwa mnatumia vibaya mnapopata nafasi kama hizi ndo mana mtabakia kulalamika tu siku zote