Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Unaongea sana lakini hausemi goli la tatu ni offside! Jaribu kukubali kwamba mmebebwa, vinginevyo mlikuwa mnachezea kichapo.

Game ya jana upepo ulikuwa umerudi kabisa upande wetu hadi mchezaji wao wa kumi na mbili alipoingilia kati. Hii hali Fa wanatakiwa wawe makini inauma sana.
 
Game ya jana upepo ulikuwa umerudi kabisa upande wetu hadi mchezaji wao wa kumi na mbili alipoingilia kati. Hii hali Fa wanatakiwa wawe makini inauma sana.




Tulikuwa tunashinda game, lakini ndo hivyo tena. Marefa wanamwogopa babu Fergi, siku akistaafu imekula kwa Manure. Babu kukaa kwenye bench pekee ni kama point 10 mpaka 15 kwa msimu wanapewa za bure.
 
Tulikuwa tunashinda game, lakini ndo hivyo tena. Marefa wanamwogopa babu Fergi, siku akistaafu imekula kwa Manure.

What goes around comes around! Karma hiyo chifu.
Mmesahau goli la Drogba pale OT msimu Chelsea ilipochukua ubingwa mara ya mwisho!!!

Karma chifu.
 
Game ya jana upepo ulikuwa umerudi kabisa upande wetu hadi mchezaji wao wa kumi na mbili alipoingilia kati. Hii hali Fa wanatakiwa wawe makini inauma sana.

Karma mazee.

Uwa mnaona haya mambo kwa Man U tu; siku ikiwa against Man U, hamuoni na wala hamsemi.
Mmesahau goli la Didier pale OT?!
Penati ya Newcastle last season pale OT?!

Man U tunasonga mbele, hatuliilii na kulalamika hovyo.

Tukutane tena jumatano.
 
What goes around comes around! Karma hiyo chifu.
Mmesahau goli la Drogba pale OT msimu Chelsea ilipochukua ubingwa mara ya mwisho!!!

Karma chifu.




Nakumbuka pia Macheda alifunga goli kwa mkono katika mechi hiyo, mbona husemi hili.
 
:biggrin1: ndio maana nawapendaga washabiki wa mpira hua wanaonaga upande wa timu yao tu...hivi mbona hakuna hata mtu mmoja kwenye hii forum ya sports kaongelea ila kung fu torres aliyompiga cleverley kipindi cha kwanza? kama huyu refa anatubeba mbona hakumpa torres kadi nyekundu? sheria ni kua ukinyanyua mguu ukampiga mchezaji teke kwenye tumbo au kifua ni red card..sasa mbona torres hakupewa....torres hakutakiwa acheze kipindi cha pili....acheni ubishi wa kitoto nyie watu mnakua kama mmejua soka juzi....mjue katika season nzima kuna magoli ya offside timu zote zitapewa...kuna penati timu zitapewa au kunyimwa bila haki kuna so many decisions zitafanyika over a season and that's why football is such an emotional game coz so much is happening....DAAAH kuongea na wabongo mpaka upige makelele ndio wakuelewe

Hahah mtotowamjini, nyani haoni kundule!

Sheria ya ngapi vile? what was the motive behind?
haha..let's leave it to the past broda..U R OUT OF THE CAPITAL ONE CUP AND WE ARE STILL ON TOP OF THE PREMIER LEAGUE TABLE....
Watya gonna say!????


Hahahahaha...good day broda!
 
Last edited by a moderator:
hongereni kumbe mnajua maana mngefungwa wangesema chelski hajui kapigwa gemu zote bora mmekaza..
 
Hahah mtotowamjini, nyani haoni kundule!

Sheria ya ngapi vile? what was the motive behind?
haha..let's leave it to the past broda..U R OUT OF THE CAPITAL ONE CUP AND WE ARE STILL ON TOP OF THE PREMIER LEAGUE TABLE....
Watya gonna say!????


Hahahahaha...good day broda!

washabiki hewa utawajua tu..saivi ndio unaongea eeh!! ulikua wapi toka jpili..nyie ndio wale fake fans tunaowasemea bora hata akina viper/kashengo arsenal ikifungwa hawakimbii...tumekuja stamford bridge mara mbili mmeshindwa kutufunga dakika 90..mmeona mnalemewa mkaingiza ramires, hazard na oscar...sie tuliacha wa kwetu rio, carrick, valencia,rvp na rooney nyumbani pamoja na de gea...nyie mnaonyesha jinsi ambavyo hamna squad...hamuwezi kushinda mechi bile hazard, mata na oscar he he poleni...carling cup chukueni lakini niwaulize hivi kweli mmeshindwa kutufunga dakika tisini wakati defence yetu ilikua na michael keane na yule mwingine ambao wote ni 19yrs old? SHAME ON U GUYS alafu nyie ndio mnajiita european champions? nguvu ya soda...
 
Mambo swaafi, na hapo Jmosi tuna-xtend the lead...:glasses-nerdy:
 
Police probe latest race storm at Stamford Bridge AND Chelsea ask for help to find the man who made this 'monkey' gesture at Welbeck



Mentor you should feel ashamed being a so called fan of a club whose captain is a racist and the fans are racist too.... what a shame...a football club is meant to be a community club ONE GAME ONE COMMUNITY remember!!


Uwi uwiuwi uwi uwi unawaumiza wenzako weye khe khe khe khe khe khe ... . ... .... hutulii kwenye timu yako ya manyu uuu uuuu uuuu ?

Di Matteo na Meerkat nani zaidi? Only Chelsick fans should answer. I mean racist fans who support racist club. Tena hawana aibu.


Ooops
Di Matteo i.e. mafioso original bado jina lake lina utata ... .... ... lipo kwenye uratibu will be available soon.


Bado nachubiri majibu pengine yatakuja kwa njia ya posta .. .. .. khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeee racist bastards .. .. ... .... ... ...




Ooops hongereni kwa kuwafunga Manure .. ... ... wanachubiri mkong'oto mwingine J1.
 
[h=2]Police probe latest race storm at Stamford Bridge AND Chelsea ask for help to find the man who made this 'monkey' gesture at Welbeck[/h]

Mentor you should feel ashamed being a so called fan of a club whose captain is a racist and the fans are racist too.... what a shame...a football club is meant to be a community club ONE GAME ONE COMMUNITY remember!!



Well, and you think Rio is innocent with his choc ice comment. Kwa akili yake ya kibaguzi, Rio alitegemea kupata support ya Ashley Cole, kwa sababu tu ni mweusi mwenzie....huo ni ubaguzi....the pot calling the kettle black.
 
Hivi nyumbani si ndio mlifungiwa 6 au? Nakumbuka score ilikua inasoma 1-6 . Sku hizi watu hawaheshimu hii maneno ya nyumbani au away bana. Kama unabisha waulize Bayern kilichowatokea may.
Chelsea 5 Manchester United 4 (aet): Sweet revenge for Di Matteo! Blues come from behind THREE TIMES to trigger treat at the Bridge


:biggrin1: yaani mko nyumbani kwenu lakini mara tatu tulikua tunaongoza kwa magoli...mngekua mmekuja old trafford msingetoka nyie bahati yenu...tunawasubiri mwakani old trafford ndio tutakapochukua ubingwa wa ligi siku hiyo...
 
[h=2]Chelsea 5 Manchester United 4 (aet): Sweet revenge for Di Matteo! Blues come from behind THREE TIMES to trigger treat at the Bridge[/h]
:biggrin1: yaani mko nyumbani kwenu lakini mara tatu tulikua tunaongoza kwa magoli...mngekua mmekuja old trafford msingetoka nyie bahati yenu...tunawasubiri mwakani old trafford ndio tutakapochukua ubingwa wa ligi siku hiyo...



Ushabiki mwingine sijui ni utoto au ndio kutojua mpira! Siku zote unaambiwa mpira dakika 90, sasa wewe unakuja na urofa wako hapa wa "tuliongoza mara tatu BS"....It doesn't matter how you start, it's about how you fu$%n finish.
 
Well, and you think Rio is innocent with his choc ice comment. Kwa akili yake ya kibaguzi, Rio alitegemea kupata support ya Ashley Cole, kwa sababu tu ni mweusi mwenzie....huo ni ubaguzi....the pot calling the kettle black.

ashley cole mpumbavu kwa sababu tv camera showed that terry abused anton and yet he defended him why? how come terry didnt seek help from jon obi mikel who was nearer terry than ashley cole? the difference is mikel is african he wouldnt take no bull shyt...ashley cole is black british born n raised with white dudes so he felt appropriate to defend a white boy, kuna vitu vya kudefend na vitu vya kuviacha...ushahidi upo kila mtu anauona alafu unatetea sasa unatetea nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom