Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Dirisha la usajili linafungwa leo hii ,huku tukiwa hatujasajil mchezaj yeyote

Tuchel alitka zaidi emerson arudi,ila kutokana ma mkataba uliokuwepo tuneshindwa kumrudisha emerson hii ni baada ya kuweka kipengele cha kumuuza moja kwa moja lyon mwishon mwa msim

Aliyerejea ni Kennedy, hope atatusaidia kama lwb

Performance nzuri ya Malang Sarr hivi karibun upande wa LB naona ukatupa matumaini
Hasa na baada ya formation kubadilishwa ili kuendana na wachezaj waliopo.4222

Ila tutegemee summer kuna wachezaj wengi itabidi waondoke, na tusajil kwa makin sio kwa mihemko,
Summer tunahitaj
Replacement ya AC, huku kuna uwezekano wa Rudiger akasign mkataba mpya, na back up ya James, Azp kuna uwezekano akaondoka hii ni baada ya yeye kutaka mkataba wa miaka 2 huku kukiwa na option ya kumuongeza mwaka mmoja, huku uongozi ukitaka kumpa 1 yr na option ya 1yr kumuongeza
Mid mmoja wa kumrith Kante (Tchouamen/Rice)
Attacking Mid
Na LW/RW moja wapo.

Academy wanatakaorudi
Gallagher
Broja
Colwill
Huku kuna taarifa zikisema kuanzia hii ungwe ya pili tuchel anampango za kumpa game time Harvey Vale
 
Mzee Kwan lampard hakuendelea kumuamini ? Aliishia kufunga goli ngapi kabla ya kuja Tuchel ...huyo n midtable type of a striker Tu
drop form is not parmanent, Tammy alidrop form baada ya kurudi likizo fupi ya Corona. Angeendelea kuaminiwa angerudi. Tammy ni mojawapo ya wachezaji wanaokataliwa tu bila sababu, so hii sio geni. Havertz akikaa hapa hata msimu mitatu bil;a kufunga mtaendelea kumuoverate lakini hii form ya Havertz ingekuwa ya mtu kama Tammy angeshapigwa mawe siku nyingi
 
Hatimaye Dembele haiji tena Darajani
Sababu kuu ni kwamba Chelsea ni lazima kwanza wamuuze Ziyech, Werner au Pulisic ili wabalance mahesabu na pia kutengeneza nafasi ya Dembele
Mimi namrate Dembele ni kama Pulisic tu kwa ufungaji na kwa majeruhi ya mara kwa mara. Sikuona kama angekuja kuongeza kitu hapa
 
Dirisha la usajili linafungwa leo hii ,huku tukiwa hatujasajil mchezaj yeyote

Tuchel alitka zaidi emerson arudi,ila kutokana ma mkataba uliokuwepo tuneshindwa kumrudisha emerson hii ni baada ya kuweka kipengele cha kumuuza moja kwa moja lyon mwishon mwa msim

Aliyerejea ni Kennedy, hope atatusaidia kama lwb

Performance nzuri ya Malang Sarr hivi karibun upande wa LB naona ukatupa matumaini
Hasa na baada ya formation kubadilishwa ili kuendana na wachezaj waliopo.4222

Ila tutegemee summer kuna wachezaj wengi itabidi waondoke, na tusajil kwa makin sio kwa mihemko,
Summer tunahitaj
Replacement ya AC, huku kuna uwezekano wa Rudiger akasign mkataba mpya, na back up ya James, Azp kuna uwezekano akaondoka hii ni baada ya yeye kutaka mkataba wa miaka 2 huku kukiwa na option ya kumuongeza mwaka mmoja, huku uongozi ukitaka kumpa 1 yr na option ya 1yr kumuongeza
Mid mmoja wa kumrith Kante (Tchouamen/Rice)
Attacking Mid
Na LW/RW moja wapo.

Academy wanatakaorudi
Gallagher
Broja
Colwill
Huku kuna taarifa zikisema kuanzia hii ungwe ya pili tuchel anampango za kumpa game time Harvey Vale
Kenedy anatakiwa Leeds, kuna kila dalili kabla dirisha halijafungwa akaenda huko kwa sababu nafasi yake ina wazoefu wengi. Na yeye Kenedy na umri wa miaka 25 ameshindwa kupenyeza kwenye main team. Tuchel anamtaka zaidi Harvey Vale kwenye ushambuliaji ana miaka 18 tu
 
Kenedy anatakiwa Leeds, kuna kila dalili kabla dirisha halijafungwa akaenda huko kwa sababu nafasi yake ina wazoefu wengi. Na yeye Kenedy na umri wa miaka 25 ameshindwa kupenyeza kwenye main team. Tuchel anamtaka zaidi Harvey Vale kwenye ushambuliaji ana miaka 18 tu
Kenedy atacheza kama LWB/LB, ili azibe pengo la Chilwel, huku wakisaidiana na Alonso na Sarr, halaf ikifika Summer ni muuza nimeona tumekuwa na interest na Raphinha, tunaweza muweka Kenedy summer ili awemo kwenye deal
 
Hatimaye Dembele haiji tena Darajani
Sababu kuu ni kwamba Chelsea ni lazima kwanza wamuuze Ziyech, Werner au Pulisic ili wabalance mahesabu na pia kutengeneza nafasi ya Dembele
Mimi namrate Dembele ni kama Pulisic tu kwa ufungaji na kwa majeruhi ya mara kwa mara. Sikuona kama angekuja kuongeza kitu hapa
Dirisha la usajili linafungwa saa nane usiku kwa saa za Africa Mashariki

Tumefanya deals nyingi sana kwenye deadline day

NEVER SAY NEVER
 
Huyo mama ni bonge la mduanzi, na anataka kutuletea Dembele manina zake.
Dembele atawafaa sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], jamaa anakiwango balaa maana combination ya Lukamavi na Bebelamahindi itakuwa poa sana kwenye 442
 

Raphinha to Chelsea in the summer​

Chelsea have registered an interest in signing Leeds United winger Raphinha at the end of the season, The Daily Mail have reported.

1 Raphina = 10 Dembele
Ziyech bado hajatumika ipasavyo kufikia kutaka kumsajili Raphinha
 
Huyu Lukaku ilipaswa tumpige mkopo Januari hii lakini bado kimya tu
 
drop form is not parmanent, Tammy alidrop form baada ya kurudi likizo fupi ya Corona. Angeendelea kuaminiwa angerudi. Tammy ni mojawapo ya wachezaji wanaokataliwa tu bila sababu, so hii sio geni. Havertz akikaa hapa hata msimu mitatu bil;a kufunga mtaendelea kumuoverate lakini hii form ya Havertz ingekuwa ya mtu kama Tammy angeshapigwa mawe siku nyingi
Yaani we jamaa ni mweupe kichwani,sijui unaangaliaga mpira kw kutumia makalio, tafuta namba za tammy akuweke ndani akuoe.
 
Lampard anatarajia kua kocha wa Everton, ataishia kufukuzwa tu huyu jamaa.
Kazi ya ukocha ni ya kuajiriwa na kufukuzwa. Ni makocha wachache sana wanamaliza mikataba yao na kuamua kuondoka wenyewe
Lampard kwa Everton hatafukuzwa mapema, hizi ndizo klabu size yake hadi atakapokomaa
Hatakuwa na expectation kubwa zaidi ya kuibakiza timu kwenye ligi
Sio Chelsea mara makombe mara top 4
 
Huu msim ni vile tu tulikosa striker wa maana, ila huu utatu ulikuwa huna baya na sidhan kama utakuja tokea kama huu pale darajan

Hawa waliopo mpk sasa hawajatupa hata nusu ya huu utatu
IMG_20220201_104357.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom