Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tammy hamna kitu huyu kwa epl hawezi huko huko araga'aa tu
Kwani goli 15+ alizofunga wakati wa FL alisaidiwa?
Mfumo ule ule unaomnyima Lukaku asifunge ndio huo huo Tammy alikabiliana nalo na kupata mafanikio aliyopata.
No. 9 anakuwa mzuri akihudumiwa vizuri. No service no No. 9
 

Southampton to send Chelsea club-record transfer £25m bid for Armando Broja 'imminently'


Chelsea walivyo wajinga watamuuza Broja kwa mil 25 halafu wamnunue Dembele kwa mil 80
 
  1. Kwa umbile la Broja
  2. Kwa urefu wa Broja
  3. Kwa compusure akiwa na mpira
  4. Kwa running anazofanya bila mpira
  5. Kwa karisma aliyonayo
  6. Broja atakuja kuwa bonge la forward calibre ya Kane
  7. Bodi ya Chelsea wakimuuza dunia nzima itawacheka
1643200095954.png
 
Bayern Munich wanamchukua Christansen bure msimu ujao wa kiangazi
Na sisi tumchukue Niklas Sule bure msimu ujao wa kiangazi
Analipwa 115,000 kwa wiki tu
 
City wanaajiri vijana wasiojulikana bei ya kawiada halafu baadaye wanajengwa kuja kuwa mastaa
Sisi tumeng'ang'ana na akina Lukaku, Kane, Haaland. Majina makubwa makubwa halafu yakija huku yanakuja kuflop
Si bora ununue mchezaji wa mil 15-20 akaflop kuliko kumnunua mchezaji wa mil 100 halafu anaflop huku ametia hasara tu
1643199977701.png
 
City wanaajiri vijana wasiojulikana bei ya kawiada halafu baadaye wanajengwa kuja kuwa mastaa
Sisi tumeng'ang'ana na akina Lukaku, Kane, Haaland. Majina makubwa makubwa halafu yakija huku yanakuja kuflop
Si bora ununue mchezaji wa mil 15-20 akaflop kuliko kumnunua mchezaji wa mil 100 halafu anaflop huku ametia hasara tu
View attachment 2096392
Na huo ujinga wa kununua ready made aliuanzisha Mourinho. Akawakataa watoto wadogo akina Salah, Lukaku na De Bruyne.
 
City wanaajiri vijana wasiojulikana bei ya kawiada halafu baadaye wanajengwa kuja kuwa mastaa
Sisi tumeng'ang'ana na akina Lukaku, Kane, Haaland. Majina makubwa makubwa halafu yakija huku yanakuja kuflop
Si bora ununue mchezaji wa mil 15-20 akaflop kuliko kumnunua mchezaji wa mil 100 halafu anaflop huku ametia hasara tu
View attachment 2096392
Usisahau ni Man City hiyo hiyo ikiwa chini ya Pep Kipara ilishtakiwa kutumia pesa nyingi sana ktk kusajili wachezaji wapya tena wakati huo huo ilikuwa ni timu pekee UK kutumia pesa nyingi sana zaidi ya £900 tangu Pep Kipara atinge hapo Man City kuliko timu zote zinazoshiriki EPL.

Man City amebahatika tu kutokuwa na majeruhi na kuathirika kwa COVID-19 mwaka huu tofauti na Chelsea FC iliyokumbwa na majeruhi wa5 na wagonjwa wa COVID-19.

Pia Chelsea FC haikubahatika kughairi mechi hata 1 tokana na hizo changamoto tofauti na Man Utd, Tottenham waliokuwa na waathirika wa COVID-19 wachache na kuhairisha baadhi ya mechi.

Mfano Liverpool FC ilibambwa na waathirika wa3 tu wa COVID-19 ilihairisha mechi.

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Usisahau ni Man City hiyo hiyo ikiwa chini ya Pep Kipara ilishtakiwa kutumia pesa nyingi sana ktk kusajili wachezaji wapya tena wakati huo huo ilikuwa ni timu pekee UK kutumia pesa nyingi sana zaidi ya £900 tangu Pep Kipara atinge hapo Man City kuliko timu zote zinazoshiriki EPL.

Man City amebahatika tu kutokuwa na majeruhi na kuathirika kwa COVID-19 mwaka huu tofauti na Chelsea FC iliyokumbwa na majeruhi wa5 na wagonjwa wa COVID-19.

Pia Chelsea FC haikubahatika kughairi mechi hata 1 tokana na hizo changamoto tofauti na Man Utd, Tottenham waliokuwa na waathirika wa COVID-19 wachache na kuhairisha baadhi ya mechi.

Mfano Liverpool FC ilibambwa na waathirika wa3 tu wa COVID-19 ilihairisha mechi.

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
  1. Leroy Sane £46.8m.
  2. Kyle Walker £47.43m.
  3. John Stones £50.04m.
  4. Benjamin Mendy £51.75m.
  5. Rodri £56.43m.
  6. Riyad Mahrez £61.02m.
  7. Ruben Dias £61.2m.
  8. Jack Grealish £105.75m.
Mchezaji wa ghali hapo ni Grealish tu
  1. Ikay Gundogan mil £22m.
  2. Gabriel Jesus £26m.
  3. Feran Torres £27m.
  4. Ederson £33m. (First Choice Golie)
  5. Bernado Silva £41m.
Sisi Chelsea
  1. Christian Pulisic - £57m (Flop ataondoka)
  2. Alvaro Morata - £60m (Flop kaondoka)
  3. Kepa Arrizabalaga - £71m (Second Choice Golie)
  4. Kai Havertz - £72m (Anaendelea kuflop ataondoka)
  5. Romelu Lukaku - £97.7m (Inavyoelekea ataflop atarudi Inter)
 
Pulisic opens up on ‘tough’ time at Chelsea

Christian Pulisic has become the latest star to admit struggling with life at Chelsea.

The £58million winger opened up on the turmoil of failing to nail down a regular starting place under boss Thomas Tuchel.
 
Mechi ya Arsenal na Spurs imeahirishwa kwa sababu tu mchezaji mmoja ana Ccovid-19
Kwa sababu hiyo juzi timu 20 za EPL wamekubaliana kwamba ili mechi iahirishwe ni lazima timu iwe na cases angalau 4 za COVID-19
 
  1. Leroy Sane £46.8m.
  2. Kyle Walker £47.43m.
  3. John Stones £50.04m.
  4. Benjamin Mendy £51.75m.
  5. Rodri £56.43m.
  6. Riyad Mahrez £61.02m.
  7. Ruben Dias £61.2m.
  8. Jack Grealish £105.75m.
Mchezaji wa ghali hapo ni Grealish tu
  1. Ikay Gundogan mil £22m.
  2. Gabriel Jesus £26m.
  3. Feran Torres £27m.
  4. Ederson £33m. (First Choice Golie)
  5. Bernado Silva £41m.
Sisi Chelsea
  1. Christian Pulisic - £57m (Flop ataondoka)
  2. Alvaro Morata - £60m (Flop kaondoka)
  3. Kepa Arrizabalaga - £71m (Second Choice Golie)
  4. Kai Havertz - £72m (Anaendelea kuflop ataondoka)
  5. Romelu Lukaku - £97.7m (Inavyoelekea ataflop atarudi Inter)
Ake £40m
Cancelo £58m
Rodri £60m
Laporte £58m
 
Nikiangalia hzi habar za tchouamen madrid kumtaka , inanipa mashaka kama tutampata, last summer tulikuwa tunanafasi kubwa sana ya kumsajil badala yake tukamuacha tukaenda kumchukua kwa mkopo SAUL

Sahivi inabidi tupambane na madrid,juve n etc wakat tungeweza msajil halaf tukamuacha kwa mkopo huko kama waliona shida
 
Nikiangalia hzi habar za tchouamen madrid kumtaka , inanipa mashaka kama tutampata, last summer tulikuwa tunanafasi kubwa sana ya kumsajil badala yake tukamuacha tukaenda kumchukua kwa mkopo SAUL

Sahivi inabidi tupambane na madrid,juve n etc wakat tungeweza msajil halaf tukamuacha kwa mkopo huko kama waliona shida
Naona Rice ni Bora kwetu.
 
Wanangu vipi kuhusu club world cup si ilikuwa ifanyike mwezi wa 12
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom