Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ni kweli mfarisayo, lakini Chelsea imepoteza "character".
chelsea ya Mourinho, Ancelotti au Di Matteo haikuwa hivi. Kwa maoni yangu, huyu jamaa anajua kwamba hawezi kuleta kombe lolote, na pia anajua kwamba atafukuzwa..lakini lengo lake ni pesa tu..Chelsea walipaswa kujua aina ya makocha ambao wanaendana na utamaduni wa Chelsea. Chelsea imekuwa timu ambayo 'haifi' kwa urahisi. Lakini chini ya Benitez imekuwa sawa tu na timu nyingine za kiwango cha kati. Kinachofanya timu kama Barcelona kuwa juu kwa muda mrefu ni aina ya makocha. Wao hutafuta makocha ambao wanaendana na utamaduni wao wa pasi fupi-fupi..
 
Masanilo naona Sissoko kawaletea kilio darajani... tatizo kocha au nini????
 
Last edited by a moderator:
Naona mmeshaanza kuzoea haya matokeo,najua mwisho Avram Grant atapewa mikoba aokoe jahazi
 
Ben kaambiwa asirudi kwenye cowshed khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee mtafuteni Mungiki Brother aweke pics khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Leo najua mtasema sana.

Ila katika yooote najua Arsenali wachumba zetu tu...hilo tu!
 
Leo najua mtasema sana.

Ila katika yooote najua Arsenali wachumba zetu tu...hilo tu!

Weka picture ya Sokomoko damn it! Fujo tu hamuwezi kuangalia ka timu kenu kisa Gunners chacha Gunners ndio walikwenda kwa toons?

Where we dare talk openly! Phew what a slogan.
 
Leo najua mtasema sana.

Ila katika yooote najua Arsenali wachumba zetu tu...hilo tu!

:biggrin1: mentor hiyo nimeipenda....ila nashangaa mpaka sasa abromavich hajamtimua RAFA maana mnavyochezea kichapo siku hizi ni aibu
 
tuweke unazi pembeni kwa macho yangu naona kama ni red card, mpira wa juu Ba amepiga kichwa na Coloccini amepeleka daluga ndani ya penalt box
 
DembaBa_2894533.jpg
 
:biggrin1: mentor hiyo nimeipenda....ila nashangaa mpaka sasa abromavich hajamtimua RAFA maana mnavyochezea kichapo siku hizi ni aibu

Yan ungejua jinsi gan namchukia uyo spanish waiter na torres wake. Nothing they can do will change me i guess.
Nway...ts a matter of tym
 
Yan ungejua jinsi gan namchukia uyo spanish waiter na torres wake. Nothing they can do will change me i guess.
Nway...ts a matter of tym

Chelse fc toa rafa ben na toa tores you get CHAMPION TEAM
 
Demba Ba, angekuwa mchezaji wa Man U yule beki angepewa kadi nyekundu na kufungiwa mechi kadhaa!
Unakumbuka yule dogo wa Swansea ambaye alikuwa hataki kutoa mpira, Hazard alifanywa nini?
Hata Uingereza kuna siasa nyingi kwenye mpira..
Lakini kusema kweli Torres na Benitez wameambukiza Chelsea ugonjwa mbaya!
Watamkumbuka Di Matteo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom