Demba Ba, angekuwa mchezaji wa Man U yule beki angepewa kadi nyekundu na kufungiwa mechi kadhaa!
Unakumbuka yule dogo wa Swansea ambaye alikuwa hataki kutoa mpira, Hazard alifanywa nini?
Hata Uingereza kuna siasa nyingi kwenye mpira..
Lakini kusema kweli Torres na Benitez wameambukiza Chelsea ugonjwa mbaya!
Watamkumbuka Di Matteo!
Hivi yule beki wa Swansea alivyopiga mpira na kichwa cha Van Persie alipewa kadi gani?