Mwalimu wa Zamu Tz
JF-Expert Member
- Jan 2, 2021
- 1,096
- 2,821
Cha tatu
Hii game kubwa hata kama Lukaku ametoa maoni yake na Tuchel amechukizwa angempanga tu kisha hayo yangefuta baadaye.Alitakiwa kukaa nani?
Right, but watu wenue maamuzi principled ni wachacje sana!Hii game kubwa hata kama Lukaku ametoa maoni yake na Tuchel amechukizwa angempanga tu kisha hayo yangefuta baadaye.
Mchezaji kama Lukaku kuwepo kwake tu pale mbele ingekuwa game pande mbili.
We umevuliwa chupi jana kaa kwa kutulia. This is not arsenal.Takataka lenu chalobah, alitaka kutuonyesha style gani? Purely poor
Vyovyote tu mkuuuuSijui Nishabikie Liverpool Sijui Chelsea Au Nitazame Tuu mpira
Happy new year x2Yule aliyesema pulisic mzigo, happy New year kwako!