Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nyinyi hamna team hapo, na huu msimu kama TUCHELEWE ataendelea kuwa kocha hapo ni lazima mcheze Europa League, sioni namna yoyote ya nyinyi kuwa top four.

Nyee Nyee Nyeee.....tunafungwa kwasababu ya kikosi, haya leo mpo full mnafanya nini?
Mbona mnawashwa sana na hii Chelsea.

Mbona Chelsea inawanyima sana usingizi?

Mi nafikiri kila timu ishinde mechi zake.
Mnalala mnamuwaza mume wenu Chelsea
 
Kwahiyo mkuu Chelsea akifanyiwa faul golini unataka asipewe penalty. Mbona jana man City kafunga goli sita Leicester na penalties 2 zake ni za halal?

Mbona mnawashwa sana na hii Chelsea. Kwani Chelsea amewakataza msishinde au msipewe penalties? Kwann usiache kila timu ipambane na hali yake?

Mbona Chelsea inawanyima sana usingizi?

Mi nafikiri kila timu ishinde mechi zake.
Hujamuelewa huyo alikuwa ana wadhihaki kunguni zilizovamia Uzi wakati WA game
 
akiingia lukaku hii mechi tunashinda wazee
Naamini umeumia sana
Screenshot_20211227-094646.jpg
 
Hata wale pundit waliokuwepo darren bent n hoddle wanasema pale mendy alifaaa afanye save wakaanza kuanalyze hadi kuna chance moja ya watkins wakisema mendy wa mwanzon mwa msim angekuwa ashatoka golin.
Hata mimi namshangaa Mendy yule wa mwanzoni sio huyu tangu lile goli la Masuaku na ile penalti aliyowapa hao hao westham Mendy amekuwa hana concetration ya kuendana na hadhi yake na hadi ya Chelsea
Ile deflection angekuwa hata Kepa angepunch itoke nje
 
Game management from a player coming from injury layoff
and thats exactly why you were struggling in the first half, your foward line wasnt scary. leo saa tano kosi la dunia liko dimbani usipange kukosa burudani kutoka kwa vijana wenye vipaji lukuki🤝
 
Jana yule Lukaku OG kaonekana Villa Park, akikamata mpira anajua kuulinda aidha umchezee rafu au umpishe akafunge
Kuanzia mechi ya jana na zijazo tutakuwa tunamuona Lukaku OG, mobile na sio static. Hayo ndio maelekezo kocha kampa Lukaku wakati anaingia. Asisimame sehemu moja tu awe na movement na ndio iliyotupa goli la pili na penalty
 
Jana yule Lukaku OG kaonekana Villa Park, akikamata mpira anajua kuulinda aidha umchezee rafu au umpishe akafunge
Kuanzia mechi ya jana na zijazo tutakuwa tunamuona Lukaku OG, mobile na sio static. Hayo ndio maelekezo kocha kampa Lukaku wakati anaingia. Asisimame sehemu moja tu awe na movement na ndio iliyotupa goli la pili na penalty

Aaaaah jana jamaa kama sio yeye hatari tupu
 
Hata mimi namshangaa Mendy yule wa mwanzoni sio huyu tangu lile goli la Masuaku na ile penalti aliyowapa hao hao westham Mendy amekuwa hana concetration ya kuendana na hadhi yake na hadi ya Chelsea
Ile deflection angekuwa hata Kepa angepunch itoke nje
Wachezaji wote huwa wanakuwa na nyakati mbaya. So ni kawaida tu, atarudi.
Pengine ana issues zake personal zinaathiri uchezaji wake. Maisha sio mpira peke yake!
 
Jana yule Lukaku OG kaonekana Villa Park, akikamata mpira anajua kuulinda aidha umchezee rafu au umpishe akafunge
Kuanzia mechi ya jana na zijazo tutakuwa tunamuona Lukaku OG, mobile na sio static. Hayo ndio maelekezo kocha kampa Lukaku wakati anaingia. Asisimame sehemu moja tu awe na movement na ndio iliyotupa goli la pili na penalty
Kama hawatomlisha mipira tusitegemee hilo, mtu ana nafasi mbele hata mipira mirefu hawataki kumpa, mipira ya krosi kutoka pembezoni hawataki kupiga na nafasi wanazo Ndicho kinachouzi.

Hebu watazame Citizens wanamwaga maji si Mchezo na mashuti Juu. Sisi tunashindwa nn...?
 
Kosi kama kosi, njooni muone style mpya ya uchezaji chini ya Profesa Sir Ralf Rangnick.
Screenshot_20211227-201830.jpg
 
Kwahiyo mkuu Chelsea akifanyiwa faul golini unataka asipewe penalty. Mbona jana man City kafunga goli sita Leicester na penalties 2 zake ni za halal?

Mbona mnawashwa sana na hii Chelsea. Kwani Chelsea amewakataza msishinde au msipewe penalties? Kwann usiache kila timu ipambane na hali yake?

Mbona Chelsea inawanyima sana usingizi?

Mi nafikiri kila timu ishinde mechi zake.
Mkuu usihangaike na virobot...
 
We jamaa huwa unahangaika sana. Huwa una pandikizi chuki za kijinga kichwani mwako. Toka Chelsea achukue uefa mbele yako umekuwa na chuki sana
Umasikin ,ujinga na Chelsea ni adui wakubwa wa taifa letu kwa Sasa .......
 
We jamaa huwa unahangaika sana. Huwa una pandikizi chuki za kijinga kichwani mwako. Toka Chelsea achukue uefa mbele yako umekuwa na chuki sana
Chelsea ni janga la taifa ,kimbia kama umeona kirusi mkuu ....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom